Dah Hii biashara imewaumiza sana watu maana unasign nisipolipa hadi tarehe 30 niuziwe gari langu hawa kuna mkoa wanatumia nguvu za kichawi ukikopa hupati hela ngooooo hadi wauze
Ukifanya vizuri unachukuliwa mi namfahamu mtoto ndo first kufanya Interview katika tangu amalize chuo na kapata kazi kama afisa ugavi hamjui mtu dar na alifikia kwangu Nina uhakika ajabebwa na mtu
Wananikera sana tena wanazitangaza Facebook utasikia nimebinjuka na mama yangu sasa kanogewa nishaurini,mara Nauza bikra elfu 50 najaribu kublock nisipate habari zao lakini nimeshindwa
Tuachieni Rais wetu Acheni ushabiki wa kiteja tumieni akili mtu ana wiki moja madarakani mnajifanya mnamjua sana mmezoea kudanganywa basi hata penye ukweli kazi kulalama mfyuuuuuu
Kila nafsi itaonja mauti Mungu akufariji tulifiwa na wazazi wetu waliotuzaa na kutulea kwa mapenzi tulijua itakuwa ngumu kusaau na kuzoea lkn ashukuriwe Mungu ambaye ndiye muweza ya yote tulizoea na imebaki historia hata wewe utazoea itabaki historia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.