Recent content by Jasiri Haachi Asili

  1. J

    JamiiForums Tanzania Kamati yafuta adhabu ya Kadi Nyekundu ya Gibril Sillah wa Azam FC, sasa kuwavaa Simba

    Hawakufanya marejeo ya FVS kabla ya kutoa RED CARD?!
  2. J

    JamiiForums Tanzania Kama kuna kosa kubwa alilolifanya Mwl Nyerere ni kusaidia mataifa ya kusini kupata uhuru. Mpaka leo hili kosa linatugharimu

    Unamsaidiaje masikini kwa kumpa ekari 50 za kuanzia maisha? Huko ni kumuongezea umasikini. Mpe nusu ekari au ekari moja aanze mdogomdogo, huko mneleni ataongeza mwenyewe.
  3. J

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Pemba: Nyama ya msaada iliyotolewa na Wabunge imebainika haifai, kuna watu wameingia nayo mtaani, Mamlaka zipo kimya

    Nchi hii vibovu ni vingi, nenda sokoni chungunguza Nyanya maji, hoho, Samaki nk utakutana na madudu ya haja. We kula tu, afya yako mwachie mwenyewe mwenye pumzi yake. Utatupa vingapi?
  4. J

    JamiiForums Tanzania Juni 6, 2022 Injinia Hersi Said aliahidi atajenga Uwanja wa Yanga ndani ya miaka minne ya Uongozi wake

    Wanakoseaga tu kuweka muda wa utekelezaji - eti nitajenga uwanja ndani ya miaka 4, lakini kiukweli ujenzi wa uwanja wa mpira sio issue ya mazingaombwe.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Omar Mahita: Nilikuwa IGP katili sana

    Dah!
  6. J

    JamiiForums Tanzania Yanga imebadilisha makocha mara tatu na bado imetwaa vikombe vyote msimu 2024/25

    Udhaifu wa timu shindani
  7. J

    JamiiForums Tanzania Rais wa Ghana afutilia mbali posho za mafuta ya gari kwa viongozi wote wanaoteuliwa

    Atasababisha ongezeko la wizi na ufisadi katika sekta za umma. We unadhani mafuta ya hayo magari watatoa wapi kama si kufanya ufisadi ili kazi zifanyike?
  8. J

    JamiiForums Tanzania Mtoto wangu yupo kidato Cha 3 lakini hata dirishani hafiki; atarefuka kweli au ndo basi?

    Kozi nne za Kulaza au Kusimamisha? Fafanua mkuu.
  9. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Media za Bongo mnatakiwa kujitafakari, masaa manne media inaongelea michezo tu. Tutatoboa kweli?

    Kama nawe unakiri mitaani kote vijana wanazungumzia habari za mipira, ulitaka media zifanyeje? Kumbuza nazo zipo kibiashara. Siku zote biashara inaangalia lilipo soko.
  10. J

    JamiiForums Tanzania Baada ya miaka mitano ijayo namwona John Heche mbali sana kwenye siasa za Tanzania

    Usitufananishe WAPEMBA na hizo takataka zenu. Wapemba ndiyo wapinzani wa kweli nchi hii.
Back
Top Bottom