Nimekuwa ninamfuatilia sana kamanda wa anga mbowe,kila mara anapozungumzia hofu za chadema kuhujumiwa,lazima aseme ushahidi tunao,ila akitakiwa kuuweka wazi anaufyata,si bora asingekuwa anaweka wazi,mfano kule Soweto,alisema ushahidi wanao kuwa ccm ndio walihujumu kampen zao za mwisho akatakiwa...