Recent content by Japkas

  1. Japkas

    JamiiForums Tanzania Ruvuma: Raia wa kigeni akutwa na mashine bandia 60 za dubu

    Na hizi zote zisizo na usajili zinapelekwa kwa wakulima kijijini waliwe pesa za mazao
  2. Japkas

    JamiiForums Tanzania Djigui Diarra afungiwa mechi Tatu na faini ya Tsh. Milioni 4

    Kawaida kwa Yanga hizo adhabu. Mshery na Masalanga ni magolikipa wazuri.
  3. Japkas

    JamiiForums Tanzania Djigui Diarra afungiwa mechi Tatu na faini ya Tsh. Milioni 4

    Kwa foward yupi waliyenaye?
  4. Japkas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwenu Wanaume, Mwanamke akikuletea Zawadi jua ni mtego, atachukua kwako mara 2 yake

    Vijana ndio mnagundua sasa hivi. Ni jambo la kawaida katika maisha uamuzi ni wako upokee zawadi na baadae utoe mara mbili au tusitoe. There's no free lunch for men. Kila kitu tunanunua na sisi ni fursa kwa wanawake. Hakikisha hata kama utalipa mara mbili basi malipo yatoke kwenye pesa yako ya...
  5. Japkas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Keypad ya smartphone yako imeondolewa M unapoandika neno "maana" tu?
  6. Japkas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Sometimes pesa inakutumikisha
  7. Japkas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Nakuambia mwanaume ukiwa na pesa unaweza kuwa zaidi ya hao ulio wataja.
  8. Japkas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Dada yake wa Atown apigiwe simu aulizwe
  9. Japkas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Penzi la mdada trafiki lilivyonitesa

    BIMA 118,000 na fire extinguisher haizidi 50,000, triangle red sign haizi 20,000. Mpaka inafika 600,000 huo ni uzembe wako. Umemlea sana huyo Enzi za ujana wangu ningegutua rafiki yake anayetumwa na kama ni mshikaji tungekaa chemba kiume.
  10. Japkas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mzee tunaemheshimu karopoka matusi mazito kisa mwanae anataka kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Kuna mambo huwa nikikumbuka mzee wangu mlezi alipopingana juu ya maamuzi yangu juu ya nani wa kuoa najisemea moyoni "Alikuwa sahihi ". 15 years kwenye ndoa na sijaoa single mother ila kuna vitu sasa nimeona uhalisia wake. Nyani mzee amekwepa mishale mingi,ameona matukio mengi ya ajabu...
  11. Japkas

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tanzania: Kikundi cha uasi kimeanzishwa tayari? Wanajiita Tanzania Freedom Fighters (TFF). Ni hatari sana

    Sauti inafanana na YA kanari yule kaka yake na speed
  12. Japkas

    JamiiForums Tanzania FT Simba SC 1-1 Mtibwa Sugar l NBC premium League l MEJ GEN.ISAMUHYO Stadium l 18-1-2026 l 16:00

    Mkombozi toka ng'ambo si wa kubezwa bila yeye leo sio ingepoteza point 3 zote
  13. Japkas

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Simba nje ya maslahi, biashara na mishahara hivi wanaipenda timu, sio kwa maumivu haya tunayopitia mashabiki

    Na Sowa kuwabinya chuchu wenzie wakina Budo.
  14. Japkas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Udalali wa kuunganishia wanaume/wanawake wenza siku hizi umeshamiri sana mjini. Chanzo ni nini?

    Kuna group moja ya WhatsApp niliungwa na dada mmoja chuma sana mjini. Aiseeee hii dunia ya sasa ni zaidi ya Sodoma na Gomora. Wanawake walioko huko ni vyuma balaa hadi wake za watu na wanaume wenye status kubwa wapo huko. Mambo yanayoendelea ni balaa. Wanawake na wanaume wengi wako kwenye circle...
  15. Japkas

    JamiiForums Tanzania Misaada namna ya kupata app ya loan online

    Unazo pesa za kutakatisha tujiandae kukopa bila kulipa?
Back
Top Bottom