Tupo wenzio sisi wazazi walikufa tukiwa shule na watu baki wakatuokota na kuendeleza pale walipoishia wazazi. Pindi zote hizo life was not easy at all. Sehemu ya boom yako inabidi wadogo zako wapate sale za shule. Kwa sasa anza kutafuta namna ya kujikwamua wewe wengine watafuata na maisha...
Inategemea imepita muda gani na baba yako ana tatizo gani. Watu hukubaliana wamwambie wakishakamilisha baadhi ya mambo na si kwa kukurupuka. Lakini penye wengi hapakosi wambea. Anatokea mmoja anamjulisha mtu wake wa karibu na baadae zinamfikia mhusika namba moja.
Kuna watu wamepata taarifa za...
Mwanamke yeyote anataka umiliki wa mwanaume anayempenda. Na siku zote mchepuko au bi mdogo ndio mwenye wivu wa wazi kuliko aliyemtangulia. Akisema sitamsumbua bi mkubwa wala hatajua ni uongo ipo siku atafanya jambo la kushangaza na hakuna pa kuchomokea
Nikirudi nyumbani kuna mawili, Coins nizitoe mfukoni niweke kwenye dressing table au zibaki kwenye mfuko wa nguo niliyovaa. Pia zinaachwa kwenye gari. Swala la kuokota 100 ndani ya nyumba inategemea unauza nini.
Zinaongezwa sio kwamba zinaanzishwa kwa sababu zipo kwa zaidi ya miaka 20. Kigezo hizi Medium school za serikali zinatoza ada kidogo ya uendeshaji tofauti na private schools.
Maamuzi yoyote utakayofanya yana athari kubwa mbele. Chagua ambalo unaona ni rahisi moyo kulibeba. Sometimes ukifikiria sana kuhusu hali ya watoto itakuwaje malezi ya bila wazazi wote endapo mkiachana matokeo yake wanakupoteza wewe. Sio wakati wote ufikirie watoto itakuwaje? Fikiria wakikupoteza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.