Recent content by Japkas

  1. Japkas

    Ulishawahi kuwa na mahusiano na ndugu wa tumbo moja?

    "Ulishawahi kuwa na mahusiano na ndugu waliozaliwa tumbo moja?" Title yako inatuchanganya nikajua ulikula dada yako. Hiyo title hapo juu inaweza kufaa
  2. Japkas

    Nimelia sana usiku wa leo, nipo katika kipindi kigumu sana cha maisha

    Tupo wenzio sisi wazazi walikufa tukiwa shule na watu baki wakatuokota na kuendeleza pale walipoishia wazazi. Pindi zote hizo life was not easy at all. Sehemu ya boom yako inabidi wadogo zako wapate sale za shule. Kwa sasa anza kutafuta namna ya kujikwamua wewe wengine watafuata na maisha...
  3. Japkas

    Yanga yaweka Bango tena baada ya kuwafunga Simba 7-2 kwa msimu 2023/2024

    Hizi tambo zinakera ikiwa wewe ndiye unayekerwa. Kila jambo lipe muda lina mwisho wake.
  4. Japkas

    Yanga yaweka Bango tena baada ya kuwafunga Simba 7-2 kwa msimu 2023/2024

    Kwani ustaarabu ni kutokufurahia matokeo yako mazuri?
  5. Japkas

    Yanga yaweka Bango tena baada ya kuwafunga Simba 7-2 kwa msimu 2023/2024

    2012 ni zamani sana mambo yanabadirika. Ukipata nafasi ya kufurahi tumia nafasi hiyo to the fullest usijivunge kuonyesha furaha yako.
  6. Japkas

    Tumefikia huku? kwamba mzazi anapata taarifa ya kifo cha mtoto kwenye soshomedia?

    Inategemea imepita muda gani na baba yako ana tatizo gani. Watu hukubaliana wamwambie wakishakamilisha baadhi ya mambo na si kwa kukurupuka. Lakini penye wengi hapakosi wambea. Anatokea mmoja anamjulisha mtu wake wa karibu na baadae zinamfikia mhusika namba moja. Kuna watu wamepata taarifa za...
  7. Japkas

    Tumefikia huku? kwamba mzazi anapata taarifa ya kifo cha mtoto kwenye soshomedia?

    Ulimwengu wa utandawazi hili halikwepeki na kwa mtu maarufu ndio taarifa zinaingia mitandaoni haraka sana. So hakuna cha ajabu hapo.
  8. Japkas

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mwanamke yeyote anataka umiliki wa mwanaume anayempenda. Na siku zote mchepuko au bi mdogo ndio mwenye wivu wa wazi kuliko aliyemtangulia. Akisema sitamsumbua bi mkubwa wala hatajua ni uongo ipo siku atafanya jambo la kushangaza na hakuna pa kuchomokea
  9. Japkas

    Ufanyapo usafi nyumbani, usipookota hata Tsh. 100 ujuwe ufukara unapiga hodi!

    Nikirudi nyumbani kuna mawili, Coins nizitoe mfukoni niweke kwenye dressing table au zibaki kwenye mfuko wa nguo niliyovaa. Pia zinaachwa kwenye gari. Swala la kuokota 100 ndani ya nyumba inategemea unauza nini.
  10. Japkas

    Serikali kuweka shule za English Medium siyo ubaguzi kwa wanafunzi wa Kitanzania?

    Zinaongezwa sio kwamba zinaanzishwa kwa sababu zipo kwa zaidi ya miaka 20. Kigezo hizi Medium school za serikali zinatoza ada kidogo ya uendeshaji tofauti na private schools.
  11. Japkas

    Klabu ya Simba yashika Namba Moja katika Vilabu Tajiri Zaidi Afrika Mashariki

    Hapa tutofautishe kati ya timu kuwa tajiri na timu kuwa na kikosi chenye thamani kubwa. Kuwa na kikosi chenye thamini kubwa si utajiri wa timu
  12. Japkas

    Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

    Maamuzi yoyote utakayofanya yana athari kubwa mbele. Chagua ambalo unaona ni rahisi moyo kulibeba. Sometimes ukifikiria sana kuhusu hali ya watoto itakuwaje malezi ya bila wazazi wote endapo mkiachana matokeo yake wanakupoteza wewe. Sio wakati wote ufikirie watoto itakuwaje? Fikiria wakikupoteza...
  13. Japkas

    Jiji la Arusha lamkana Mfanyabiashara Chambulo wadai 'amepotosha'

    Bila shaka atakuwa anafuata taratibu zote za kuandaa hesabu. Ikiwa hivyo hiyo 90B si tatizo
Back
Top Bottom