Vijana ndio mnagundua sasa hivi. Ni jambo la kawaida katika maisha uamuzi ni wako upokee zawadi na baadae utoe mara mbili au tusitoe. There's no free lunch for men. Kila kitu tunanunua na sisi ni fursa kwa wanawake. Hakikisha hata kama utalipa mara mbili basi malipo yatoke kwenye pesa yako ya...
BIMA 118,000 na fire extinguisher haizidi 50,000, triangle red sign haizi 20,000. Mpaka inafika 600,000 huo ni uzembe wako. Umemlea sana huyo
Enzi za ujana wangu ningegutua rafiki yake anayetumwa na kama ni mshikaji tungekaa chemba kiume.
Kuna mambo huwa nikikumbuka mzee wangu mlezi alipopingana juu ya maamuzi yangu juu ya nani wa kuoa najisemea moyoni "Alikuwa sahihi ". 15 years kwenye ndoa na sijaoa single mother ila kuna vitu sasa nimeona uhalisia wake.
Nyani mzee amekwepa mishale mingi,ameona matukio mengi ya ajabu...
Kuna group moja ya WhatsApp niliungwa na dada mmoja chuma sana mjini. Aiseeee hii dunia ya sasa ni zaidi ya Sodoma na Gomora. Wanawake walioko huko ni vyuma balaa hadi wake za watu na wanaume wenye status kubwa wapo huko. Mambo yanayoendelea ni balaa. Wanawake na wanaume wengi wako kwenye circle...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.