Recent content by JAPHARI IDRISA

  1. J

    JamiiForums Tanzania GE2025 Maigizo au Utakatishaji fedha? CCM njooni hapa tusemezane

    Kaka we unataka ualikwe una Mchango kaka au ndo ulitaka utie huruma pale. Kaka tafuta ugali wako acha kutia huruma mitandaoni
  2. J

    JamiiForums Tanzania Simba na Yanga ni mtaji wa Serikali mnawalaumu TFF na Bodi ya ligi Bure tu

    Klabu ya Young Africans inamilikiwa na wanachama 100%. Unapotumia neno mmiliki wa timu unakosea. GSM ni moja ya wadhamini kupitia bidhaa zake na klabu nyinginezo zilizoomba udhamini wake.ila pia ni Kit supplier wa Young Africans km ilivyo Sandaland pale simba ila pia anadhamini timu ya taifa Mo...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Bei ya kivuko cha daraja la Kigamboni zapandishwa ghafla kipindi hiki cha korona, kutoka 1500 kwa gari Dogo hadi 2000

    Anyway system ya malipo pale darajan ipo controlled na TRA na CCTV camera upiga picha namba ya gari na kutuma kwny portal ya TRA na kupata body type ya gari na kutaja bei. So unapofika pale ujue amount hapangi yule teller pale bali anaelekezwa na system Sent using Jamii Forums mobile app
  4. J

    JamiiForums Tanzania Bei ya kivuko cha daraja la Kigamboni zapandishwa ghafla kipindi hiki cha korona, kutoka 1500 kwa gari Dogo hadi 2000

    Ukubwa WA gari inaangaliwa bodi c engine Saloon ni tofauti na Station wagon Sent using Jamii Forums mobile app
  5. J

    JamiiForums Tanzania Kwa hili sio siri Prof. Maghembe ameonewa sana aombwe radhi

    Nadhani Maghembe anatakiwa kushukuru kutokea mkoa usio na wabunge wengi wa CCM ikizingatiwa katika Baraza la mawaziri la JPM hatukupata waziri kutoka mkoa huo hivyo kwa kuwa baadhi ya wasomi walilalamikia sula la umoja wa kitaifa basi ndo maana JPM amelazimika kufunika kikombe ....... apite ila...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Mbunge wangu Kubenea achana na siasa za (antagonize) za kina Mnyika, utakuja kimbia Ubungo

    Alituaminisha Lowassa ni fisadi kwa miaka 8 aliposhughulikiwa kwa kukatwa akaamia CDMakatugeuka na kusema ni mkomboz wetu mwanambadiliko Magazeti yakalia ufisad ktk suala la manji kutokufata sheria JPM kamuwajibisha mhusika bw Natty unatugeuka kuwa anasingiziwa eti hahusiki kisa alikua mpambe wa...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Ninaacha Ualimu tangu leo

    Ila mkuu mitihani wanalipa Necta sio halmashauri yako
  8. J

    JamiiForums Tanzania Mikoa sita (6) kapuni uteuzi wa baraza la mawaziri

    Nadhani hicho kingekua kigezo angetangazwa waziri na mkoa anaowakilisha. Tuzingatie uwezo na utashi ktk mambo muhimu ya kitaifa sio kukomalia dhana ya ukanda na mkoa. Kongole sana JPM kwa uteuzi makini
  9. J

    JamiiForums Tanzania Ni wavivu wa fikra mnaodhani CCM imemleta Magufuli kwa bahati mbaya!

    Nanukuu "mgombea urais CCM hayupo kati ya hao qaliojitokeza kutangaza nia. Hata yeye mwenyewe hajajua kua ana sifa za kua rais bali utafika muda tu na wasaa ataambiwa kuwa anafaa aingie kwenye kinyang'anyiro" mwisho wa kunukuu. Hayo ni maneno ya mwenyekiti wa CCM taifa kwenye maadhimisho ya...
Back
Top Bottom