Recent content by japanese

  1. japanese

    Mchochezi ni nani?

    Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na hii dhana ya uchochezi hasa kupitia mitandao ya kijamii. Dhana hii sasa imekuwa ni kibano kikali kwa watoa maoni wote katika mitandao na wengi wetu tumeathiriwa kwa namna moja au nyingine. Wengi wa wanaoingia kwenye kadhia hii huishia kuwa na mashtaka...
  2. japanese

    TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

    Leo majira ya Saa kumi na mbili asubuhi,zilianza kusambaa taarifa mitandaoni na kwenye vyombo mbili mbali vya habari juu ya kifo cha mwanasiasa na mchungaji maarufu hapa Tanzania Christopher mtikila. Habari hizi zimewashtua watu wengi na hasa wapenda mabadiliko hapa nchi kwani kwa Mara ya...
  3. japanese

    Mungu wa UKAWA bado anaishi

    Hakika ukawa ni mpango wa mungu kwa watanzania na siku si chache mpango huu unakwenda kutimia. Tokea vuguvugu la ukawa lianze kuna mengi yametokea lakini kadri siku zinavyoenda ndio umoja huu unazidi kuimarika CCM na mawakala wake kwa nyakati mbalimbali wamejitahidi sana kuhujumu umoja huu...
  4. japanese

    Makonda na siasa za domo kaya

    Ni kipndi kirefu sasa kimepita tokea yule msemaji wa UVCCM ambaye alijizolea umaarufu mkubwa baada ya kumkashifu sana Lowassa,kutumiwa na Samweli Sitta kwenye bunge la katiba na hatimaye kuingia kwenye kashfa ya kumshambulia babu yake Mzee Warioba. Mwisho wa yote jitihada zake zilienziwa kwa...
  5. japanese

    Baada ya ccm,sasa twaweza na baadae ni redet.

    Imepita kama wiki moja hivi na ushehe baada ya ccm kutoka na kilichoitwa utafiti na baadae tukaambiwa ccm itashinda kwa asilimia zaidi ya sitini.Mimi binafsi nilishangaa sana kwa nini utafiti wafanye mwenyewe na hatimaye wajipe asilimia ndogo kiasi hicho. Leo tena watu wale wale safari hii...
  6. japanese

    Namshangaa sana Magufuli

    Mwaka 1995, CCM ilifanya mambo kama ambayo wameyafanya mwaka huu,mwaka ule CCM iliibuka na mgombea ambaye kiukweli hakuwa kabisa chaguo halisi la wana CCM,Bali alikuwa ni mgombea chaguo binafsi la mwl Nyerere,kwa bahati nzuri kuna mambo mawili makubwa yalitokea kwanza, mwamko wa mageuzi ndani ya...
  7. japanese

    Je kwa siasa hizi CCM itabaki!

    Wakati akiwa Kigoma mgombea urais wa CCM bwana Magufuli, aliyekuwa akimnadi mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi bwana Bulembo alidai CCM haiwezi kuiachia ikulu na alipokuwa Chato, mwenyekiti wa mkoa bwana Msukuma alimdhihaki mgombea wa UKAWA eti alijinyea na Leo hapa Geita wanadai Lowassa kaleta...
  8. japanese

    Katika watu wanaojuta ni Arfi Said

    Huyu mheshimiwa said arfi alipotoshwa na mizengo pinda,alijua jamaa angepata urais,sasa amejikuta amefanya "political suicide".
  9. japanese

    Wema arudi Singida kushindana na Tundu Lissu

    Ni rahisi ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko wema kumshinda lissu.
  10. japanese

    Siasa mchezo mchafu

    Leo ni muda wa takribani wiki mbili zinakatika tokea uvumi na hatimae kujulikana dhahiri kuwa yule mgombea aliyeenguliwa kwenye mchakato wa uraisi ndani ya ccm mh.lowassa kuwa amejiunga na vuguvugu la vyama vya upinzani maarufu "ukawa", lakini cha kushangaza ni kwamba Yale yaliyotabiriwa kuwa...
  11. japanese

    Magufuli na Wanakigamboni

    Time will tell
  12. japanese

    Mtu asiyejulikana agawa fedha jijini Dar

    Mwaka wa maajabu!
Back
Top Bottom