Recent content by janubk

  1. J

    Nauza puppies aina ni bulldog

    Sh ngapi?
  2. J

    Nauza puppies aina ni bulldog

    Hapa hakuna mshindi. Vitendo vya kuua havitatufikisha mbali. Kumbuka huko kwenye vikosi vya majeshi kuna ndugu zao watakao kufa. Hapo ujue jeshi litaasi. Sasa mimi na wewe tutakuwa wapi. Kumbuka watakao aasi wanamafunzo na silaha. Maadui wetu watawaunga mkono kwa kuwapa silaha na mbinu za...
  3. J

    Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

    Inashaangaza sana watu wanamlenga sana Dr. Slaa kana kwamba Dr. SLAA ndiyo chadema. Kila taasisi inakiongozi na miiko yake. Nenda CCM Ukiuke miiko yao na ujaribu kumsaliti Kikwete uone cha moto wake. Hapa maadili ni muhimu.
  4. J

    Ufafanuzi wa CHADEMA Kuhusu Maazimio ya Kamati Kuu - Novemba 2013

    Ndugu yangu si kila kitu kutoka kwenye nyaraka kinatolewa kwenye umma. Kuna madhara ya kuwa muwazi sana. Ndiyo maana kuna msemaji wa maamuzi ya kikao. Ata vyama vingine hawatoi kila kitu. Vinginevyo utaingia kwenye kashfa ya kuvujisha siri za kikao. Popote utakapokuwa kuna miiko na maadili...
  5. J

    Dr Slaa alienda kusomea urais Marekani?

    Nani bora zaidi? Aliyeua kinyama au aliyekula rambirambi?
  6. J

    Profesa Abdul Karim Bangura, binadamu mwenye PhDs tano za kusomea

    Online PhDs acquired through courseworks.
  7. J

    Nani anagharamia uzururaji na utalii wa Dr Slaa Marekani? ili iweje na kwa ajili ya nini?

    Ndg yangu. Elimu ni kitu muhimu sana. Ukitaka kuishi vizuri na kuthaminika ugenini fata tamaduni zao (observe cultural norms) vinginevyo watakushangaa na wakati mwingine kukuchukulia hatua. Dr Slaa ana social interaction skills.
  8. J

    Nani anagharamia uzururaji na utalii wa Dr Slaa Marekani? ili iweje na kwa ajili ya nini?

    Think deep. Mandela alianzaje? Umashuhuri unajengwa kwa miaka.
  9. J

    Hotuba ya Rais Kikwete - Sept 2013: Akubaliana na wapinzani muswada urejeshwe Bungeni

    Naona mimi tusubiri mazungumzo na wapinzani yafanyike. Kuanza kubashiri matokeo si sahihi sana. Angalau Rais kaonyesha busara yakuleta amani ndani ya nyumba.
  10. J

    LIPUMBA,,MBOWE NA MBATIA,,Kubalianeni na ushauri wa Mh Rais bila kumpa Masharti!!

    Tatizo la viongozi wetu wasaidizi wa Rais wanafikiri pesa ya walipa kodi wa tanzania ni pesa yao. Chai iliyotolewa Ikulu iligharamiwa na pesa za watanzania na si mtu binafsi. Anayejigamba kwamba chai ilikuwa yake basi angewaita nyumbani kwake. Pia yeye ana biashara gani yakutawanya pesa ya familia.
  11. J

    For JamiiForums Mobile users

    Reset your phone settings if you know pin number of your handset. For help consult handset manual Regards
  12. J

    Kufungiwa kwa Magazeti ya Mwananchi na Mtanzania: tujifunze nini?

    No ignoring is bad thing. The Act must be ammended.
  13. J

    KUB Freeman Mbowe Vs NS Job Ndugai: Kushindwa kwa Uongo baada ya Kweli kufahamika!

    Kuhusu Elimu za Watalaamu wetu zina mapungufu mengi, hasusani mitaala yao, mafunzo na upimaji wake. Digrii za Uzamili nyingi wahusika wanaandikiwa maandiko ya utafiti na data nyingi za juu juu. Kwa hiyo sishangai mambo kwenda mlama.
Back
Top Bottom