Chadema kuweni makini na huyu mama wanawake huwa wakatili zaidi ya wanaume,kauli yake inaongoa zaidi kwa kirefu ,"nasikia wameanza chokochoko tumejipanga"
Chonde chonde Mama Samiaa Suluu Hassan,kama hitaji la watanzania kuwa na katiba mpya hutaliona kwa sasa muda si mrefu tutaacha kukuunga mkono,hata ndani ya chama
Yote kwa yote gari lilisimamishwa na kukaguliwa na abiria wote kushushwa na kupatiwa gari lingine,hii ni nchi yetu sote,ulinzi na usalama wa raia barabarani ni wajibu wetu sote,tuendelee kumsaidia mama Samia
Asante mamlaka za shinyanga
Hongereni mamlaka za shinyanga ukaguzi umefanyika na gari ni bovu abiria wanasuburi gari lingine salute police Shinyanga hongera jamii forum
Chonde chonde traffic barabarani, kuna basi la Aboud linatoka Mwanza ni bovu lisimamishwe likaguliwe. Okoeni maisha ya Watanzania liko njiani sasa linaingia Shinyanga mjini.
Ni miaka mingi imepita takribani 20 sikuwahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa nchi japo nilikuwa upande wa wale wanaokandamizwa na kuonewa katika tafakuri ndani ya kichwa change nimeona ni jiunge rasmi na Chama tawala kwa awamu hii ya sita kwa sababu zifuatazo.
1. Awamu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.