Kama kawaida,watanzania tu watu Wa kuwaachia wanasiasa wafanye kila kitu,,,sisi ni wazee Wa kusikilizia na kusema,,,ewala,,ingelikuwa nchi nyingine sidhani Kama hawa panya wangekuwa wanapumua uraiani,,na ndio maana wanajigamba kwamba hawagusiki,,,hakyanani lazima watanzania tumkumbuke sana...