Aibu: JB na Steve Nyerere wapigana bar karibu na msiba wa Kuambiana

Hii naona walikuwa lokesheni maana dakika tano asipimue kisha baada ya hapo aanze tena,hakika hii ni muvi,ikitoka ni tanunua
hongera King Kong III umesababisha ni cheke saaanaaaa
 
Last edited by a moderator:
Ha haaaaaa we jamaa Ni mbeya balaaa, sorry au Ni WA kike????? Kaka kawaida ya wasanii WA bongo, maisha Yao bila ya skendo hayaendi,utakuta Kuna movie IPO jikoni wanaitengeneza,,,,,,
 
Ha haaaaaa we jamaa Ni mbeya balaaa, sorry au Ni WA kike????? Kaka kawaida ya wasanii WA bongo, maisha Yao bila ya skendo hayaendi,utakuta Kuna movie IPO jikoni wanaitengeneza,,,,,,
Hahahaha huyu jamaa kweli Dr wa Udaku daaa tisha mbaya.
 
Back
Top Bottom