Recent content by Janati

  1. J

    Mahakama ya juu nchini Kenya imepiga chini maombi ya kuvaa Hijab kwenye shule zisizo za Kiislam

    Sisi watu weusi tunashida gani shuleni tunaenda kupata maarifa ya kukabiliana na changamoto za maisha sio mavazi mavazi ni uhuru wa mtu
  2. J

    Je, Israel itaweza kushambulia vinu vya nuclear Iran?

    Israel inawapa moral wairan wasome sana sayansi ya kivita na technology kwa kuwaua wanasayansi wa iran na hii itasababisha israel ipate uponzani mkubwa kwasababu iran ina population kubwa kwahiyo watu wakiwa na moral wakiwa macientist itakuwa na macientist wengi sana na hapo ndo mwanzo wa...
  3. J

    COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

    Safy sana iko wapi sehem ya pili Sent from my iPhone using JamiiForums
  4. J

    Rais Trump akerwa na hatua ya maseneta wa Democratic kukutana na Zarif

    Wewe kaka iran ni ishu nyingine historia yao inawalinda hao ni waajemi alafu hao wafarisayo katika Biblia wanaakili kinyama miji yote mikubwa ya ukanda wa ghuba wafanya biashara mashhuri ni wairan ndo maana Israel inafyata mkia kwa Muiran kwasababu wanawajua hao watu hawajawahi kushindwa vita...
  5. J

    Mkuu wa CIA nyuma ya mauaji ya Soleimani na yeye auliwa kwa kudunguliwa ndege yake

    Jamani Mwenyezimungu hajakosea kila mtu kumuumbia katika taifa lake sasa hawa marafiki zetu Mnarafta nini kwenye mataifa ya waarabu si mbaki kwenu kama mataifa mengine? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. J

    Baada ya Wataleban kutungua dege la Marekani, Dege jingine kubwa la Marekani laripotiwa kuanguka huko Iraq

    Jesh la TLamp waliwapa Mashoga haki ya kujiunga na jesh tofaut na zamani 30%ya jesh la US ni mashoga kwahiyo sharit wapigwe tu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. J

    Baada ya Wataleban kutungua dege la Marekani, Dege jingine kubwa la Marekani laripotiwa kuanguka huko Iraq

    Hao ndio waajemi au Wafursi hawajawahi kushindwa vita tangia enzi za mitume.lakini pia changamoto za vikwazo zimezidi kuwaimarisha na kuwa vizuri zaidi asilimia 98 ya population wamepiga shule zaidi course moja technical knowledge kwao ni compasary kwa kila muiran alafu hakuna mashoga wala...
  8. J

    Sababu za kiroho za kusambaa Kwa kirusi cha Corona nchini China

    Hii ni Natural Calamity china inawatu wengi sana kwahiyo ecosystem mpaka ibalance kwa watu kufa ili kusudi waendane na resources zilizopo lakini hayo yote ni Mipango ya Muumba Allah(sw) Sent using Jamii Forums mobile app
  9. J

    Namna Magufuli alivyozungumza kinyume na wenzake kwenye mkutano wa Jukwaa la Afrika

    Tatizo Wa Tz hamuelewi mzungu hajawahi kutupenda Black hata siku moja wala hajawahi kufrahia maendeleo yetu ndo maana hata HIV katengeneza yeye kutumaliza na ARV ni yeye ili ateke raslmali zetu bure Muache Baba awaite mabeberu tu hawana lolote makatili
  10. J

    Nataka kuiona nguvu ya milioni 2 kwenye biashara mpya

    Biashara ya viatu imekaa vizuri nitafte nikupe mchakato wake
Back
Top Bottom