Recent content by Jamesb

  1. Jamesb

    Uliwahi kusikia hizi tamaduni?

    Unapoenda safari ukiondoka nyumbani alfajiri mtu wa kwanza kukutana naye akiwa m'me safari yako ni ya neema akiwa m'ke safari inamkosi.
  2. Jamesb

    Hapa ni kwa wanawake tu

    Wallet is proportional to hiv infection and inversely proportional to moral prayers.
  3. Jamesb

    Nahisi nakataliwa na mabinti wazuri kisa nikitambulisha mimi mwalimu

    Dogo usiwe na infiriority complex na profesional yako...makuli na matingo wanakamata warembo wazuri na kuwaweka ndani....iweje wewe na nondo zako uanze kuhaha......Anyway nimegundua una matatizo yafuatayo: 1. Unatatizo la kisaikolojia ndio maana hujiamini. 2. Unapenda mambo makubwa yaliyonje...
  4. Jamesb

    Nahisi nakataliwa na mabinti wazuri kisa nikitambulisha mimi mwalimu

    Tatizo unatafutia wachumba kwenye club....nenda makanisani/miskitini ikishindikana nenda kijijini kwenu...mwl ni deal.
  5. Jamesb

    Ukiniacha Nakuloga

    Jamii forum ni zaidi ya burudani....ukiwa na stress tembelea jf....full kuvunja mbavu hata ukiwa lonely.
  6. Jamesb

    Wadada ambao mna sura nzuri, elimu nzuri, na hela kwani nini hamuolewi

    Western culture imeharibu sana mabinti....usister du kwa sana, starehe ndio usiseme...uwezo huna unataka uonekane umezaliwa familia za matawi ya juu....uwezo wa kununua hata vocha ya 1000 huna unamiliki simu ya milioni mbili...kazi huna wala biashara unataka umiliki gari na nyumba....yani dada...
  7. Jamesb

    Mama mwenye nyumba ananitega sana

    Huyu jamaa tayari kashakamilisha hilo zoezi na huyu mama.....anatafuta justication ya watu. Haiwezekani m'ke akuzoee hivihivi mpaka akukalie utupu kama hujaonesha nia ya kuwa nae. Sema umenasa unaangalia namna ya kuchomoka.
  8. Jamesb

    African journalist award: Environment award-winner kenyan

    Hii ni changamoto kwa waandishi wetu wa habari.... ni vizurii kuachana na habari za udaku na kuwa focused internationally.
  9. Jamesb

    African journalist award: Environment award-winner kenyan

    Hii ni changamoto kwa waandishi wetu wa habari.... ni viruri kuachana na habari za udaku na kuwa focused internationally.
  10. Jamesb

    Faida ya kuwa na mpenzi wa ziada wakati wa uchumba

    Hiyo kali "Team lazima iwe na reserve"
  11. Jamesb

    Huwezi kuwashinda wanawake kwa uongo

    Ukitaka kumjua m'me mwenzio mwache mkeo. Vivyo hivyo ukitaka kumjua m'mke mwenzio mwache mmeo.
  12. Jamesb

    Wajumbe: Tunamtaka Samwel Sitta

    Lusinde Livingstone amependekezwa M/kiti
  13. Jamesb

    Kamati ya Bunge Maalum la Katiba hatimae imependekeza kwa Rais posho ya tshs 500,000!

    Wanaokula maisha ni wanasiasa wengine wasindikizaji.
  14. Jamesb

    Swali la kichokozi kwa wanaKALENGA, WAKO TAYARI?!

    Sio kweli....Hata zezeta anauwezo wa kuzaa genious na kinyume chake
Back
Top Bottom