Tukifikia ile hali ya Italy hakuna mtalii atakanyaga Bongo. Hapo ndio utakapoona nzi wa kijani hawana akili.
Akili yangu inanituma kwamba mipaka haifungwi ili watu waumwe tupate gawio kutoka WHO then wagawane. Kama kweli kuna watu wamepanga hivyo. I swear, corona itawatafuna na hayo magonjwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.