Recent content by James88

  1. James88

    Kodi nyingi zitatuzindua usingizini Watanzania na kudai haki zetu, Nchemba umechemka kuhusu 18 years kulipa kodi ya kichwa

    Mjinga hawezi kuzinduka kamwe. Hilo ndio kundi kubwa limejaa kwenye nchii hii.
  2. James88

    Naomba kujua kodi za kuagiza gari used na mpya

    Mpya ya 2018 ina kodi kubwa sababu hata bei yake ni kubwa
  3. James88

    Polepole: Hatuwezi kuzuia watalii kwa sababu ya Corona, tutapambana nayo kama tunavyopambana na Upinzani. Nchi inategemea watalii

    Tukifikia ile hali ya Italy hakuna mtalii atakanyaga Bongo. Hapo ndio utakapoona nzi wa kijani hawana akili. Akili yangu inanituma kwamba mipaka haifungwi ili watu waumwe tupate gawio kutoka WHO then wagawane. Kama kweli kuna watu wamepanga hivyo. I swear, corona itawatafuna na hayo magonjwa...
  4. James88

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Mimi wakati nasoma O level from home mpaka shule ilikuwa 4km na nilikuwa natembea. Ulikuwa ni mwendo wa 45min tu. Hivyo 5km hata siyo nyingi
  5. James88

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    juice ya tende, mtaani tupo mkuu ni wewe tu
  6. James88

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Me nilishamchana...
Back
Top Bottom