Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Bila hata aibu waziri mwenye Phd ya uchumi anapendekeza kuwa kuwe na ada ya ving'amuzi. Yaani unawakamua wananchi ambao nao wanalipia kupata matangazo ya TV kwa tabu hii ni akili mbovu na unyama usiofaa.
Kwa nini tusidhibiti makampuni ya kigeni yanayoiba mapato ya taifa letu kwa kukwepa kodi huko bahari kuu?
Kampuni nyingi tu za kigeni zinavua kwa wizi huko bahari kuu. Na hizi zikidhibitiwa zitaweza kuongeza mapato ya taifa kuliko kuonea wananchi kwa tozo za vig'amuzi.
Mwigulu ni waziri asiyefaa ndio maana alitunanga tuhamie Burundi. Ana roho mbaya sana.
Nini hiki?
👇
Mwananchi › kitaifa
Serikali yapendekeza ada kwenye ving'amuzi - Mwananchi
Kwa nini tusidhibiti makampuni ya kigeni yanayoiba mapato ya taifa letu kwa kukwepa kodi huko bahari kuu?
Kampuni nyingi tu za kigeni zinavua kwa wizi huko bahari kuu. Na hizi zikidhibitiwa zitaweza kuongeza mapato ya taifa kuliko kuonea wananchi kwa tozo za vig'amuzi.
Mwigulu ni waziri asiyefaa ndio maana alitunanga tuhamie Burundi. Ana roho mbaya sana.
Nini hiki?
👇
Mwananchi › kitaifa
Serikali yapendekeza ada kwenye ving'amuzi - Mwananchi