Majibu kama yako lazima niliyategemea tu
Hufikirii kama uoinzani walilia sana na huyu jamaa na familia take m waachiwe huru kwa kipind kireefu sas hilo LA Lissu kupigwa risasi hapa linahusikaje brooo
Hahaahaa kweli nilipopita uliza kiatu!!!!
Mkuu hiyo kitu iko poa Sana cha msingi usimchezee mzee utajuta...''utakunywa maji ya kunawa na unawe maji ya kunywa!!!''[emoji23][emoji23]
Ukianza kuisema team eti kimataifa huifikirii kufanya vzr unakuwa unakosea,,, Kama Jana kimepangwa kikosi kile na kimeweza kutoa draw na kikosi bora kabisa Kama kile cha simba Kama si mbinu za huyo kocha yanga walikuwa wanakula nyingi mzee baba!!![emoji6] [emoji6] [emoji6]
Duh! Kwanza polen kwa msiba lkn kwa maoni yang hapo cha kufanya ni kuishauri. Serikali sas iweze kuwa macho name iupe kipaumbele ugonjwa huu ikiwa ni pamoja na kuanzisha chanjo kwa kila mtoto was 0-5 yrs
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.