Aisee wewe jamaa unajitahidi sana kutetea mambo ya kijinga yayofanywa na ccm. Kibaya zaidi unatetea kwa kutumia hoja dhaifu sana ambazo hata mtoto mdogo atadharau.
Wewe kwani kanisani huko ulikuwa unakwenda kumwabudu kiongozi wa dini? Sema tu siku hizi hupendi kusali
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
Kumbe wengi hawafuatilii me ndo nimetumbua mimacho kwenye TV hapa nakomaa. Naona wengi mmesimuliwa na kusadiki mara moja wakati mnamjua mleta mada ni Team Lumumba kindakindaki, mnamshambulia ZZK wakati kaongea vizuri tu! Au mna chuki binafsi na jamaa nini? Mleta uzi mwenyewe hajatuonesha ni wapi...
Kuna rafiki yangu hapo unyamwezini ako na case inafanana na ya wewe. Kampata mtoto Isha wa kipare tangu August last year, lakini anapewa mwili tu kuchezea eti papuch ni hapana kugusa. Akawa analalamika na kuniomba ushauri kama vyenye unaomba hapa. Mimi nilimwambia tu in short kwamba 'siku ukiwa...
Hahaha! Ushauri mzuri lakini mleta uzi ukiufuata naamini utajuta kuikosa papuch...
"Chelea chelea utakuta mwana si wako"-Mhenga (1805)...
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
Mhh wewe jamaa wewe! Inamaana umeshindwa hadi umefika huku? Mtoto wa kipare kakushinda kabisa!? Na juzi umenidanganya ushamdinya!
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.