Kuna mshipa unaitwa galea aponeurotica
Upo zaidi kwenye vichwa vya wanaume kuliko wanawake.
Huo mshipa upo katikati ya kichwa.
Na ndio maana mtu hapotezi nywele pembeni bali hapo katikati.
Huo mshipa uko very sensitive na mwanga.
Wanawake hawapati kipara kwasababu huo mshipa ni mdogo...
Anachosema hapo nimeumwa ndio maana nimeweza kutoa ushauri specific.
Sio lazima mtu aufuate. Kwasababu mimi sio daktari.
Kilichonitibu mimi ni mwanga wa jua na kuacha kula baada ya saa kumi na moja.
Na baada ya chakula nilikua natembea kwa dakika kumi.
Anaweza akajaribu aone. Kwasababu...
Pole sana.
Jaribu ukiamka asubuhi jua ligonge macho na mwili kwa nusu.
Mchana jua ligonge mwili kwa dakika 45.
Na jioni jua ligonge mwili kwa dakila 30.
Na kila siku jitahidi. Kutembea kwa miguu kwa nusu saa. Usikae kwenye kiti muda mrefu.
Hiyo changamoto itaondoka ndani ya wiki mbili...
Huo ugonjwa nilikua nao. Na nilfanyiwa vipimo kama vyako.
Nikaambiwa ni acid.
Nlivyofanya utafiti nikagundua unaitwa Reflux au GERD.
Na mimi madawa hayo hayo ambayo hayakunisaidia.
Nikaanza kufanya mazoezi kila baada ya kula natembea dakika 10.
Na chakula mwisho ni saa kumi na moja...
Chanzo ni stress. Mwanga wa simu. Na mwanga wa taa za nyumbani.
Ukifanya gardening asubuhi kila siku. Bila kuvaa kofia. Nywele hazikatiki. Na zitarudi zote.
Ukizunguka kwenye vituo vyote vya daladala, hata mtaani kwenu ukichunguza watu wanaolala barabarani au nje ya maduka asilimia 99.999 hawana kipara.
Unakuta mara nyingi wanakula vyakula kutoka majalalani, bacteria wakutosha ila nywele zao bado zipo.
Ungetegemea labda kwasababu ya umasikini hawa...
1. Wazee wa mwaka gani?
2. Na wanaishi kwenye nyumba ya aina gani?
Nenda kijijini. Tafuta mzee yeyote yule.
Ambaye nyumba yake haina LED LIGHT. Nyumba yake ni mishumaa au giza nene.
Nitafutie mzee mmoja kwenye mazingira hayo ambaye ana kipara.
Baada ya hapo rudi Dar. Au mji wowote "modern"...
Nimefanya kazi kampuni ya simu.
Nimesambaza simu Dar na Dodoma.
Jibu la swali lako ni hili:
Ingia maduka ya wahindi mtaa wa msimbazi. Utapata vitu quality.
Hayo maduka yanauza simu kutoka kwa makampuni husika yenye matawi Tanzania.
Kampuni zenye matawi Tanzania ni:
Samsung
VIVO
OPPO...
Rudi kwa Daktari. Lakini pia fanya haya:
1. Usile chakula baada ya saa kumi na mbili
2. Hakilkisha jua la asubuhi (sunrise) mchana (midday sun) na jioni (sunset) linagonga macho na mwili kwa dakika 30 kila siku
3. Fanya mazoezi ya kutembea kwa dakika 30 kila siku
4. Chakula chako kiwe Nyama...
Siku hizi imekuwa kawaida kushuhudia vijana wa miaka 20 wanapata vipara.
Na changamoto kubwa ni muda wanaotumia kwenye simu.
Mwanga wa "Blue Light" ndio chanzo kizima cha wewe kupoteza nywele zako.
Neno la kisayansi linaitwa "Energetic Alopecia"
Huu mwanga unatengenezwa na Taa za LED.
Na...
Bro acha kutumia hiyo dawa. Iko sawa na finasteride. Itakufanya upoteze nguvu zako kabisa!!
Suluhisho la nywele kurudi nyuma ina neno la kisayansi.
Inaitwa Energetic Alopecia.
Kwa lugha rahisi. Ukitaka nywele zako zirudi kama zamani fanya haya:
1. Hakikisha unapunguza muda unaotumia kwenye...
Kabla ya kujisumbua kutumia hela kulipia tangazo Insta au kuboost post. Zingatia haya.
Miaka miwili iliyopita nilipata bahati ya kuajiriwa na kampuni moja ya logistics hapa Tanzania.
Kazi kubwa ilikuwa ni kutafuta wateja.
Siku moja mwenye kampuni alinialika kwenye kikao cha wateja potential...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.