Recent content by James Martin

  1. James Martin

    JamiiForums Tanzania Watanzania tumuombee Dkt. Tulia Ackson Mwansasu ashinde Urais wa IPU

    Tulia huyu huyu aliyeshiriki kupisha mkataba wa hovyo
  2. James Martin

    JamiiForums Tanzania Naanza kupata mashaka kuiona serikali ya Rais Samia kuwa karibu na Mabeberu na vitendo vya rushwa kushamiri nchini

    Sijamtetea Magufuli na niliandika uozo wa serikali yake sana. Hayo yamepita, sasa naandika uozo wa sasa hivi.
  3. James Martin

    JamiiForums Tanzania Naanza kupata mashaka kuiona serikali ya Rais Samia kuwa karibu na Mabeberu na vitendo vya rushwa kushamiri nchini

    Wasiwasi wangu sio kodi, wasiwasi wangu ni kuwa tutakuwa kibaraka wa Marekani na usalama wa nchi.
  4. James Martin

    JamiiForums Tanzania Naanza kupata mashaka kuiona serikali ya Rais Samia kuwa karibu na Mabeberu na vitendo vya rushwa kushamiri nchini

    Ni takribani miaka miwili sasa tangu nuache kuandika maoni yangu hapa Jamii Forum. Hata hivyo leo nimeona nirudi tena kwani kuna vitu vya kukera vimeanza kujitokeza. Wakati hayati Magufuli alivyochukua nchi nilivutiwa sana na mambo aliyokuwa anayafanya. Nilikuwa mstari wa mbele kumtetea pale...
  5. James Martin

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wamasai wa Kenya wanakerwa na jambo la Ngorongoro kuliko sisi?

    Habari za Jumapili popote mlipo. Nafikiri wengi mnajua kuhusu mpango wa serikali wa kuwatafutia ndugu zetu Wamasai makazi mapya ili kuilinda hifadhi ya Ngorongoro. Hili jambo lilileta mjadala mkubwa sana miongoni mwa jamii yetu ya Watanzania. Wapo waliopinga kuhusu mpango wa serikali na pia...
  6. James Martin

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anapaswa kujua kuwa bila Magufuli asingekuwa Rais

    Hitler anajadiliwa sana mpaka leo na aliuwa watu wengi sana!
  7. James Martin

    JamiiForums Tanzania Upinzani Tanzania umenunuliwa rasmi

    Hilo jina lako mbona lina utata. Unatafunwa mwenyewe!😠
  8. James Martin

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa Taifa uwe huu

    Mimi nafikiri Tazama Ramani ni mzuri zaidi
  9. James Martin

    JamiiForums Tanzania Kuna Genge ndani ya CCM linajiandaa kumuondoa Samia 2025 kwa Mlango wa Nyuma

    Hakuna genge lolote. Wewe ndiye unayechochea mambo hayo. Inabidi ufunguliwe mashitaka ya uchochezi
  10. James Martin

    JamiiForums Tanzania Buswati la Royal Tour

    Watu kama nyie ni wakukamatwa kwa kueneza uzushi
  11. James Martin

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Mayanga Construction ni kampuni ya hayati Magufuli!

    Sisi walipa kodi inatuhusu. Uwanja wa Chato una kila harufu ya ufisadi.
  12. James Martin

    JamiiForums Tanzania Kiingereza cha Rais Samia

    Wakati wa Magufuli mama Samia ndio alikuwa tegemeo letu kwenye ziara za nje kwasababu Magufuli alikuwa hajui Kiingereza.
  13. James Martin

    JamiiForums Tanzania Tulitegemea uzinduzi wa Royal Tour uwe mubashara kwenye TV kubwa kubwa

    Kwasababu watalii wanatoka Marekani sio Arusha
  14. James Martin

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Rais Samia isijisumbue Hayati Magufuli alieleza kila kitu na aliweka wazi matatizo ya nchi hii

    Magufuli alifanya mambo mengi ya hovyo lakini sio mtu wa pwani. Mama ana kazi kubwa sana ya kufagia uchafu ulioachwa na Magufuli
  15. James Martin

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Rais Samia isijisumbue Hayati Magufuli alieleza kila kitu na aliweka wazi matatizo ya nchi hii

    Mama ana kazi kubwa ya kuibadilisha nchi iliyoharibiwa na Magufuli.
Back
Top Bottom