Ukiona hivyo jua Dira imepotea, waliotangulia hwajui twende kulia,kushoto,mbele,au nyuma! Inafika time wengine huipiga namba ya jiwe kuuliza maelekezo wanakuta NAMBA UNKNOWN!Kumekuwa na mfululizo wa mashambulizi makali ya maneno ya kisiasa kutoka kwa Rais Samia na wasaidizi wake wa karibu dhidi ya mtangulizi wake marehemu Magufuli.
Binafsi sifurahishwi nayo kwa kuwa yamemlenga mtu aliyekufa (Magufuli) na yanasemwa na waliokuwa wasaidizi wa marehemu Magufuli, ambao waliibuliwa na kubebwa kwa 100% na Magufuli mwenyewe. Kumkana sasa Magufuli na siasa zake kabla ya kuwaomba radhi watanzania waliomizwa na utawala wa Magufuli huku Samia akiwa msaidizi na mshauri mkuu wa Magufuli, ni jambo la fedheha sana.
Yaani mabaya yote ya utawala wa Magufuli (kama ubabe, unyanyasaji, utesaji, wizi) wanasema yalikuwa ya Magufuli mwenyewe, lakini mema yote ya Magufuli (kama ujenzi, miradi, usimamizi, uwajibikaji) wanasema yalikuwa ya wote kwa umoja wao! Huu ni unafiki mkubwa.
Sote tunajua kuwa uchaguzi wa 2015 ulichezewa ili Magufuli aingie madarakani, na uchaguzi wa 2020 ulichezewa na Magufuli mwenyewe kwa 100% ili aendelee kukaa madarakani. Na Magufuli aliyafanya hayo yote kwa maslahi yake binafsi, maslahi ya CCM na maslahi ya wasaidizi wake. Leo hii watu wale wale kumkaanga Magufuli kisiasa ni jambo la ajabu sana.
Kwanini hawakusema hayo wakati Magufuli akiwa bado hai?
Kwanini hawakukaa hata pembeni ili kukwepa kushiriki dhuluma aliyotendwa na Magufuli?
Yaani leo hii Magufuli amegeuzwa na CCM ya mama Samia kuwa dampo la kufichia uchafu wote wa kisiasa unaonuka wa CCM uliofanywa na CCM na serikali yake tangu 2015-2021. Hii hatari sasa.
Ilitosha sana kwa mama Samia na CCM yake kuja kwanza hadharani kuwaomba radhi watanzania kwa utawala mbovu wa Magufuli uliokosa aibu, utu na haki, kisha kutafuta maridhiano ili ukurasa mbovu wa utawala wa Magufuli ufungwe milele katika taifa letu.
Umempatia za uso hatorudia tena kuandika utumboCrap
Mawazo mgando na ya walevi
Ukweli lazima usemwe
Nasema pwi pwi kwi kwi
DJ lete mambo, DJ lete mambo
CCM ina wenyewe
CCM, ccm, ccm ohooo ccm ni nambari one
Kuna watu walikubali kufa na Wengine walikufa kwa nchi hii
JPM Yeye amekuta minara ya Mashujaa hata maana yake alikuwa hajui
JPM alitaka aitwe shujaa, Hivi hajui akina Mkwawa walipambana sana
Hivi JPM hakujua chief Songea alipambana sana hapa Tanzania
Hata siku moja Nyerere hakujisifu zaidi ya Mkwawa au chief Songea bali Akifika huko Iringa na Songea alijifanya bwege na aliwaita wazee wa mila kumpa ushauri
Sasa huyo Mwamba wenu alijifanya Yeye ni shujaa kuliko Mkwawa, chief Songea na Mtemi isike... kweli??
I
Mwambieni walikuwepo wapambanaji siyo yeye
Marehamu Capt John Komba aliimba nyimbo za ushindi za hamasa na akatoweka
JPM nani ndani ya ccm?
Wenzake akina kinana, Makamba na Kikwete walikuwa wanajeshi walijitolea kufa kwa nchi hii kabla ya Magufuli
JPM nani bwana?
Historia ya nchi hii ni ngumu sana, Nyerere aliongea na Machief kuwa tuwe wamoja bila hivyo kuna maeneo Machief wao walikuwa watu wa vita na kupambana
Huko Iringa, Songea na Tabora watu walikuwa na tawala za vita na ujasiri lakini busara za nyerere watu wakamuunga mkono
Skadi moja ya mtwara JPM wenu hoi, Je ingekuwa enzi hizo kuna uchawi wa kutisha angetoboa kama Nyerere kweli
Unakumbuka ule mwanga kule kwa Majaliwa, Sasa Jiulize enzi hizo Nyerere ilikuwa Je? siku hizi hakuna uchawi bwana
Mleta uzi anaishi na mizimuMagufuli hakuwa Mungu hivyo hakuwa na uwezo wowote wa kumfanya mtu awe fulani,mtu yeyote mwenye fikra kama za mleta uzi lazima atakuwa MPUMBAVU.
Kila jambo linatokea kwa sababu zake na kwamba siyo kweli kusema bila Magufuli Samia asingekuwa Rais. Siyo kweli kabisa
Kumekuwa na mfululizo wa mashambulizi makali ya maneno ya kisiasa kutoka kwa Rais Samia na wasaidizi wake wa karibu dhidi ya mtangulizi wake marehemu Magufuli.
Binafsi sifurahishwi nayo kwa kuwa yamemlenga mtu aliyekufa (Magufuli) na yanasemwa na waliokuwa wasaidizi wa marehemu Magufuli, ambao waliibuliwa na kubebwa kwa 100% na Magufuli mwenyewe. Kumkana sasa Magufuli na siasa zake kabla ya kuwaomba radhi watanzania waliomizwa na utawala wa Magufuli huku Samia akiwa msaidizi na mshauri mkuu wa Magufuli, ni jambo la fedheha sana.
Yaani mabaya yote ya utawala wa Magufuli (kama ubabe, unyanyasaji, utesaji, wizi) wanasema yalikuwa ya Magufuli mwenyewe, lakini mema yote ya Magufuli (kama ujenzi, miradi, usimamizi, uwajibikaji) wanasema yalikuwa ya wote kwa umoja wao! Huu ni unafiki mkubwa.
Sote tunajua kuwa uchaguzi wa 2015 ulichezewa ili Magufuli aingie madarakani, na uchaguzi wa 2020 ulichezewa na Magufuli mwenyewe kwa 100% ili aendelee kukaa madarakani. Na Magufuli aliyafanya hayo yote kwa maslahi yake binafsi, maslahi ya CCM na maslahi ya wasaidizi wake. Leo hii watu wale wale kumkaanga Magufuli kisiasa ni jambo la ajabu sana.
Kwanini hawakusema hayo wakati Magufuli akiwa bado hai?
Kwanini hawakukaa hata pembeni ili kukwepa kushiriki dhuluma aliyotendwa na Magufuli?
Yaani leo hii Magufuli amegeuzwa na CCM ya mama Samia kuwa dampo la kufichia uchafu wote wa kisiasa unaonuka wa CCM uliofanywa na CCM na serikali yake tangu 2015-2021. Hii hatari sasa.
Ilitosha sana kwa mama Samia na CCM yake kuja kwanza hadharani kuwaomba radhi watanzania kwa utawala mbovu wa Magufuli uliokosa aibu, utu na haki, kisha kutafuta maridhiano ili ukurasa mbovu wa utawala wa Magufuli ufungwe milele katika taifa letu.
Mkuu we hujui kitu bora unyamaze tu eti aliongoza Amina salumu ukisimuliwa nini?Siyo kweli. Kwanza Magufuli ndiyo anapaswa kushukuru kwa kuwa Mgombea. Kwenye kura aliongoza Amina Salum, akafuata Magufuli then Asha Rose Migiro.
Kama Mkapa asingemkomalia Kikwete huyo Mwendazake asingesikika popote
Je 2020? Samia alikuwa pendekezo la nani?Yeye chaguo lake alikuwa Hussein Mwinyi, Samia alikuwa pendekezo la Kikwete ambaye ndiye alikuwa mwenyekiti
Wewe ni mtoto mdogo sana, huwezi kujua haya. Soma halafu kojoa ukalaleMkuu we hujui kitu bora unyamaze tu eti aliongoza Amina salumu ukisimuliwa nini?
Hitler anajadiliwa sana mpaka leo na aliuwa watu wengi sana!Magufuli anajadiliwa kuliko baba wa taifa Mwalimu Nyerere.
Hakika JPM alikuwa chaguo la Mungu wa mbinguni.
Kama johnthebaptist ni mkristu nakuomba ukatubu kwa maneno ya kufuru uliyoandika hapo juu. Mungu wetu asingeweza kutuletea mtu kama Magufuli ambaye alikuwa katili, muuaji mwongo na mnyang'anyi.Magufuli anajadiliwa kuliko baba wa taifa Mwalimu Nyerere.
Hakika JPM alikuwa chaguo la Mungu wa mbinguni.
Hizo propaganda za kufuta legacy zimeshaexpire mudaaa, watu wanachanga karata, nadhani umeshackia kauli za "TUNAWASUTA KWA KUTIMIZA MIRADI YA MWENDAZAKE". Punde utackia machinga wanarudi ROAD, wakati mwingine msikubali kutumika Kwa maslah na chuki za watu binafsi.Kama johnthebaptist ni mkristu nakuomba ukatubu kwa maneno ya kufuru uliyoandika hapo juu. Mungu wetu asingeweza kutuletea mtu kama Magufuli ambaye alikuwa katili, muuaji mwongo na mnyang'anyi.
Magufuli ni zao la shetani ila Mungu wetu aliingilia kati kwa kumnyakua pale 17/ 03/ 21
Rabbon Ni poyoyo huwezi argue na great thinkers. Rudi kwenu FacebookHizo propaganda za kufuta legacy zimeshaexpire mudaaa, watu wanachanga karata, nadhani umeshackia kauli za "TUNAWASUTA KWA KUTIMIZA MIRADI YA MWENDAZAKE". Punde utackia machinga wanarudi ROAD, wakati mwingine msikubali kutumika Kwa maslah na chuki za watu binafsi.
Ujenzi wa hiyo ikulu umesikia amekopa wapi tupe taarifa tujue sbb unaonekana mkuu una takwimu nyingi!!!!!!Anajadiliwa kwa UFEDHULI na UHAYAWANI wake.
Ule uwongo alioupandikiza ndiyo tunaufuta taratibu.
Kwa mfano alikuwa anasema tunajenga miundombinu kwa fedha za ndani kumbe alikuwa anakopa.
Kwani unafikiri hata MAGUFULI mwenyewe bila CCM angekuwa rais?Kumekuwa na mfululizo wa mashambulizi makali ya maneno ya kisiasa kutoka kwa Rais Samia na wasaidizi wake wa karibu dhidi ya mtangulizi wake marehemu Magufuli.
Binafsi sifurahishwi nayo kwa kuwa yamemlenga mtu aliyekufa (Magufuli) na yanasemwa na waliokuwa wasaidizi wa marehemu Magufuli, ambao waliibuliwa na kubebwa kwa 100% na Magufuli mwenyewe. Kumkana sasa Magufuli na siasa zake kabla ya kuwaomba radhi watanzania waliomizwa na utawala wa Magufuli huku Samia akiwa msaidizi na mshauri mkuu wa Magufuli, ni jambo la fedheha sana.
Yaani mabaya yote ya utawala wa Magufuli (kama ubabe, unyanyasaji, utesaji, wizi) wanasema yalikuwa ya Magufuli mwenyewe, lakini mema yote ya Magufuli (kama ujenzi, miradi, usimamizi, uwajibikaji) wanasema yalikuwa ya wote kwa umoja wao! Huu ni unafiki mkubwa.
Sote tunajua kuwa uchaguzi wa 2015 ulichezewa ili Magufuli aingie madarakani, na uchaguzi wa 2020 ulichezewa na Magufuli mwenyewe kwa 100% ili aendelee kukaa madarakani. Na Magufuli aliyafanya hayo yote kwa maslahi yake binafsi, maslahi ya CCM na maslahi ya wasaidizi wake. Leo hii watu wale wale kumkaanga Magufuli kisiasa ni jambo la ajabu sana.
Kwanini hawakusema hayo wakati Magufuli akiwa bado hai?
Kwanini hawakukaa hata pembeni ili kukwepa kushiriki dhuluma aliyotendwa na Magufuli?
Yaani leo hii Magufuli amegeuzwa na CCM ya mama Samia kuwa dampo la kufichia uchafu wote wa kisiasa unaonuka wa CCM uliofanywa na CCM na serikali yake tangu 2015-2021. Hii hatari sasa.
Ilitosha sana kwa mama Samia na CCM yake kuja kwanza hadharani kuwaomba radhi watanzania kwa utawala mbovu wa Magufuli uliokosa aibu, utu na haki, kisha kutafuta maridhiano ili ukurasa mbovu wa utawala wa Magufuli ufungwe milele katika taifa letu.
Credit Suisse Bank, Stànchart na AfDBUjenzi wa hiyo ikulu umesikia amekopa wapi tupe taarifa tujue sbb unaonekana mkuu una takwimu nyingi!!!!!!
Daah kumbeee basi JPM alikuwa ni chuma kwelikweli kama alikuwa anakopa na kutengeneza miradi mikubwa kama hii ni mfano wa kuigwa kuliko kukopa then mzigo unatafunwa bila kufanya chochoteCredit Suisse Bank, Stànchart na AfDB