Recent content by James.L.Laiser

  1. J

    Vyombo vya habari Tanzania vinatumika kuihujumu CCM?

    ITV sio TBCCM ni kituo cha binafsi na kinafanya kazi kwa kuzingatia taritibu.Kama ww unataka habari za kusifia Ccm angalia taharifa ya habari kupitia TBC kwani ndio wanaofanya kazi ya kuisifia Chama chakavu(CCM). Lakini pia una haki ya kufungua na ww kituo chako cha TV ili uwe unawasifia hao...
  2. J

    Nape amtaka Mbowe ajiuzulu, ameaibisha Upinzani

    Ukimnyooshea mtu kidole kimoja vingine 3 vinakupoint wewe. NAPE alipigana mwaka huu na Mwenyekiti wa Ccm Mkoa wa Arusha Ndg Onesmo ole Nangole ktk Hotel ya Corrido spring na hali iliyosababisha miwani yake kuvunjika. Atuonyeshe yeye basi kwanza mfano wa kujiuzulu na sio kubwatuka tu hovyo km...
  3. J

    Mdahalo wa UKAWA tarehe 18.6.2015

    Ametumia vigezo vya kupekecha makalio na kwa umbea akijua atapata wa kumuunga mkono!!
  4. J

    Godbless Lema asaini ujenzi wa hospitali ya Mama na Mtoto mkataba wenye thamani dola mil 3.2

    Ni kweli Kamanda!! Nataka nikuhakikishie tu kuwa pamoja na jitihada zao zoote za kukuchafua ww na Mkeo lakini leo wameaibika.Pambana Mkuu usikate tamaa japo wahafidhina na "wakabila"(MONABAN NA GENGE LAKE) hawatakosa cha kusema ila wewe usiwasikilize chapa kazi. October ndio watajua CHADEMA ya...
  5. J

    Godbless Lema asaini ujenzi wa hospitali ya Mama na Mtoto mkataba wenye thamani dola mil 3.2

    Hii ni bari njema sana kwa Wapenda maendeleo(UKAWA) ila kwa MONABAN na wezi wote(Ccm) ni uchungu sawa na kuwazamishia jiti sehemu za nanihii!! Wakati sisi tunaendelea kufanya kazi wao wamebakia kuzunguka Masokoni na kijana mmoja mwenye njaa(SHUBERT)kana kwamba ni mtu maarufu sana. Hapo nao...
  6. J

    Moses Machali amtaka Zitto kuwa na nidhamu

    Ccm kazi yake ilishaisha zamaaaani! Ndio maana unaona migomo ya, Wafanyabiashara,Walimu, Madaktari,JKT,Wafungwa,Madereva,nk. Kazi iliyobaki sasa ni kuizika Kibaraka wake ACT.October 31 tunatinga IKULU!!
  7. J

    Deus Mallya Ajiunga na ACT Wazalendo

    Jamani watu mna maneno hata sijui mnayatoa wapi daah!! Kwa hiyo Zitto ndio kichaa na makopo ni kina Deus, Afande Sele,Mwigamba na wengineo sio??
  8. J

    Tamko la Jukwaa la Wakristo Tanzania kuhusiana na Muswada wa Mahakama ya Kadhi

    AONYWAYE MARA NYINGI NA KUSHUPAZA "SHINGO""ATAVUNJIKA GHAFLA WALA HAPATI DAWA!!! mwisho wa Kunukuu!! CCM chama cha Majambazi na wezi walihangaika miaka yote kuwaaminisha Watanzania kwamba CUF na CDM ni vyama vya kidini kumbe wao ndio "wadini"wakubwa. October 31 ndio siku ambayo Dunia...
  9. J

    ACT Wazalendo yapata viongozi Kitaifa, Anastazia Mghwira awa Mwenyekiti wa kwanza Kitaifa

    Kwenye UDINI ACT kimeonyesha kua ni chama cha Kidini na hilo lipo wazi. Kiongozi Mkuu wa Chama(Mwislamu) Makamo Mwenyekiti(Mwislamu) Makamu Mwenyekiti Zanzibar(Mwislamu) katika uongozi wa juu Mkiristo ni Mwenyekiti pekee kati ya viongozi 4. Hiki ni chama cha Siasa ama Kikundi cha Uamsho???
  10. J

    Nape: Lowassa ameanza kufanya kampeni, yuko hatarini kuenguliwa

    Anachokifanya Lowassa ni kujaribu kuaminisha au "kuwatisha" watu haswa Wana Ccm kwa kuwaonyesha kua anakubalika na jamii ili waogope kumwengua.
  11. J

    Kinana, Nape ndani ya Shekhe Amri Abeid Karume Arusha kesho tar 21/03/2015

    Wasioelewa wataona kua umewakashfu lakini kwa waliojaliwa ufahamu(like me)tunakuelewa. SIASA za ukabila kwa hapa Arusha zimeasisiwa na Lowassa akiwatumia baadhi ya wachumia tumbo. Leo wanadhani kua kumsimamisha Phelemon wa Monaban ni ushindi tayari lakini hakika wataisoma Chadema siku hiyo...
  12. J

    Tundu Lissu rudi Shule

    Na nyie Wandengereko endeleeni na Genge(CCM)yenu iliyopoteza Dira na mwelekeo. chadema ni taasis inayojitegemea na kwamba haitegemei umaarufu wa mtu mmoja mmoja.Kwa uhalisia na jinsi wana CCM mnavyolalamika ni dhahiri CHADEMA kimewashika pabaya hadi mnaweweseka,na kujambajamba hovyo. CCM...
  13. J

    Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto Kabwe kuvuliwa uanachama wa CHADEMA

    Ndachuwa Kuilinganisha Ccm na Chadema ni sawa na kumlinganisha Tundu Lissu na Lusinde kwa uwezo wa kujua na kuchanganua mambo. Chadema ni taasisi na haitegemei umaarufu wa mtu mmojammoja. Hata ingekua ni Mbowe amekipeleka chama mahakamani kanuni na taratibu za chama zingefwatwa tu kama ambavyo...
  14. J

    Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto Kabwe kuvuliwa uanachama wa CHADEMA

    Umenena mkuu ila sio "hayakunywi kwa glass"ni hayanywewi kwa glass.
  15. J

    Matokeo ya Uchaguzi Serikali za Mitaa Sumbawanga: CCM yaangukia pua

    Chama chenye wabunge wengi waganga wa kienyeji ndicho kinaua Albino. Ccm watapona tu kwa msaada wa Polisi vinginevyo hata Jimbo moja la ubunge wasingepata.
Back
Top Bottom