Recent content by Jambohili

  1. J

    Kwanini wakubwa wakiambiwa ukweli wanakimbilia kukuchunguza uraia wako?

    Ubabe na vitisho vya wakubwa ndo maisha yao
  2. J

    Huu ndo utakuwa mchuano mkali 2020, CCM watakuwa Kitonga wakiserereka!

    Uyu jamaa mbona cjamwelewa au ni uwezo wangu mdogo?
  3. J

    Rais Magufuli, kwanini Dodoma/Chato Airport na sio watoto wa masikini hawa?

    Hongera kuwaambia ukweli ila JF cku iz kumevamiwa na watu hawana hoja ila wanajipendekeza pendekeza tu
  4. J

    Joyce Kiria azidi kupingana na CHADEMA, amuonya mume wake kutoshiriki UKUTA

    Huyu ni sawa na akina shibuda wanaubembeleleza ukuu wa wilaya, kupambana na ccm ni sawa na kupigania uhuru eti
  5. J

    Joyce Kiria azidi kupingana na CHADEMA, amuonya mume wake kutoshiriki UKUTA

    Yeye anajali kitumbua chake tu kwa iyo wengine sawa ila mume wake tu
  6. J

    Pale maji yanapofika shingoni kauli mbiu ya 'tunahakiki' ndio ngao

    Jamaa kaongea karibu na ukweli ila cc watz ni waoga sana kwani ukisulubiwa kwa ajili ya ukweli c ndo thawabu? Hembu fikiria majibu ya waziri wa elimu yalivotofautiana na ya mkulu halafu eti watu wanapongezana chumbani then nje ya chumbe eti hewa mara oxcijen ooh nitrojen, weka mbsli na jamii...
  7. J

    Kamati Kuu ya CHADEMA wachanganyikiwa ambapo wamepanga kujibu mapigo ya CCM

    Hivi uyu jamaa ni mwendawazimu kumbe! Chaema wapo makuni sana hatujadili watu bali data
  8. J

    Mlimsikia Magufuli akigusia ushindi wa asilimia mia moja?

    Kama waliweza kuiba za lowasa wakasema wameshinda kwa kishindo watashindwaje kututangazia kuwa amepata % 100 wakati wapo wenyewe
  9. J

    Arusha halisi ilivyo na watu wake

    We bwege tu uce elewa chochote A town wanakaa watu wote Africa huo ubaguzi upo wapi au wewe liccm nini maana mnadhani watu wakiichukia liccm lenu mnadhani ubaguzi toka huko limbukeni
  10. J

    Arusha halisi ilivyo na watu wake

    Hujamwelewe huyu chalii wa A town kasema zipo ndani ama karibu na A town
  11. J

    Maandamano ya kupinga fujo za Mbowe, Mwanza

    Mkuki kwa nguruwe hata hujitambui wewe na uccm wako kumbe hujui kuwa hata wapinzani ni watanzania
Back
Top Bottom