Jamaa kaongea karibu na ukweli ila cc watz ni waoga sana kwani ukisulubiwa kwa ajili ya ukweli c ndo thawabu? Hembu fikiria majibu ya waziri wa elimu yalivotofautiana na ya mkulu halafu eti watu wanapongezana chumbani then nje ya chumbe eti hewa mara oxcijen ooh nitrojen, weka mbsli na jamii...
We bwege tu uce elewa chochote A town wanakaa watu wote Africa huo ubaguzi upo wapi au wewe liccm nini maana mnadhani watu wakiichukia liccm lenu mnadhani ubaguzi toka huko limbukeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.