Recent content by Jambo Kubwa

  1. Jambo Kubwa

    JamiiForums Tanzania Umeshawai kufumania? Ilikuaje, ulipatwa na hali gani, ukafanya uamuzi gani?

    Hapana, nilikua nasukuma siku kutafuta mwingine nilivyompata ikawa over
  2. Jambo Kubwa

    JamiiForums Tanzania Umeshawai kufumania? Ilikuaje, ulipatwa na hali gani, ukafanya uamuzi gani?

    Aaah nilifanikiwa kumuacha uyu manzi asees
  3. Jambo Kubwa

    JamiiForums Tanzania Elon Musk : Vipofu sasa wataanza kuona

    Kwa io na wasio ona mbali, wajiandae kutupa miwani si ndio?
  4. Jambo Kubwa

    JamiiForums Tanzania Wanaume, utapata mke anaye reflect jinsi ulivyo

    Kaka liked your post
  5. Jambo Kubwa

    JamiiForums Tanzania British Council mbioni kufunga Ofisi zake Tanzania kama sehemu ya mpango wake wa kubana matumizi

    Aah nilitaka nikasome Kingereza, kumbe nishawakosa taari
  6. Jambo Kubwa

    JamiiForums Tanzania Aende degree ipi kati ya hizi: Civil, Mechanical, Electrical, Mineral au Data Science? Matokeo yake ni GPA 1.6 (PCM)

    Azimio la Musoma. Nimewai kusikia hili azimio lilikua linasema mtu asiende chuo kikuu hadi afanye kazi walau miaka miwili. Hii ilikua nzuri sana, ilifanya mtu ajitambue, ajitathmini. Akiwa anataka kwenda chuo anajua anaenda kufuata nini. Sio hii ya mtu anasoma tu afaulu wala hajui anataka nini...
  7. Jambo Kubwa

    JamiiForums Tanzania Ishauri Serikali Namna ya Kukusanya Kodi kwa Wasiolipa Kodi!

    Namna rahisi ya kufanya watu wote walipe kodi ni kuwafanya watu wote wafanye kazi rasmi zinazotambulika zenye staha. % kubwa ya watanzania ni unga unga mwana, hata hizo kazi ulizozitaja watu wanafanya kwa sababu wamekosa kazi rasmi. Na pia kodi ionekane inafanya nini, nalipa kodi na sioni...
  8. Jambo Kubwa

    JamiiForums Tanzania TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Tz bado haijali watu wenye akili sana, haijalishi mtu ana tabia mbaya kiasi gani lakini akishagundulika ubongo wake ni wa ajabu anatakiwa alindwe alelewe vizuri kwa maslahi ya umma. Sio kumuacha tu, watu wa hivi hawatokei mara nyingi
  9. Jambo Kubwa

    JamiiForums Tanzania Mnaoweka pesa HALOPESA kuweni makini

    Ni kweli asee
  10. Jambo Kubwa

    JamiiForums Tanzania KUMBUKIZI (2019): Magufuli alipompokonya Ardhi ya Ekari 1,000 Mohamed Kiluwa hadharani kwa udanganyifu

    Ukishaona kuna jambo linasukumwa sana na mainstream media ujue nyuma yake kuna jambo ovu au wanatuandaa na jambo flani ovu mbeleni
  11. Jambo Kubwa

    JamiiForums Tanzania Pre-mature ejaculation inanitesa wakuu naombeni ushauri wenu

    Wanaune wote tupo hivo hivo, kwa hiyo upo salama usiogope mpuuzi wewe. NRNE
  12. Jambo Kubwa

    JamiiForums Tanzania Shemeji kuja nyumbani kwako kumpiga mdogo mtu

    Jifunze kuandika kwanza
  13. Jambo Kubwa

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto: Sasa kuna Uchaguzi, chaguo ni CCM iliyoshindwa kwa Miaka 60 au ACT ya mabadiliko

    Kupata kichekesho kama hiki, nibonyeze ngap?
Back
Top Bottom