Namna rahisi ya kufanya watu wote walipe kodi ni kuwafanya watu wote wafanye kazi rasmi zinazotambulika zenye staha.
% kubwa ya watanzania ni unga unga mwana, hata hizo kazi ulizozitaja watu wanafanya kwa sababu wamekosa kazi rasmi.
Na pia kodi ionekane inafanya nini, nalipa kodi na sioni...
Tz bado haijali watu wenye akili sana, haijalishi mtu ana tabia mbaya kiasi gani lakini akishagundulika ubongo wake ni wa ajabu anatakiwa alindwe alelewe vizuri kwa maslahi ya umma.
Sio kumuacha tu, watu wa hivi hawatokei mara nyingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.