alietengeneza condom alikusudia kuzuia mimba na kusaidia uzazi wa mpango, sasa kwasabau zipo na zinasaidia kwa kuzuia maradhi lazima zitumikee, so sio mbaya kuelimisha watu haswa vijana, ili kuwakinga na majanga ya mimba, na magonjwa, sasa wewe kama unajidai umemfunza kijana wako muache asitumie...
kwani kuajiriwa lazimaa? anza na biashara ya karanga tu za tsh. 10000 utamiliki duka kama kweli unania ya mafanikio, funga mkanda, kaza buti, mitandao acha kwanza, ukiulizwa vp mbona huonekani wajibu HAPA KAZI TUU.
kumbe kunawatu wanadhani magufuli alishind urais? okee, yeye ndiye coz ndie kiongozi ila yeye siye alieshinda, na msipoteze muda kumdiss lowasa coz yupo vizruri sana na anakubalika, anajua afanyacho, sio lazima saana unaemdis umdis coz hapotezi chochote kwa wewe kumdis so just shut it off, yeye...
nyie jamaa hebu jaribuni kua wapole na kuwapooza wenzenu jinsi mnavyozidi kuvimba vichwa na kukumbusha wenzenu machungu mjue sio sawa, kilamtu anahasira na amirijeshi nae ni mtu tu, so tuwe wapole kila mtu anahaki, acheni watu watafute haki kwa njia yeyote wajuayo wao,
ah sasa hapo mnanitisha, basi tujifunze , hivi mwanamke akifika kileleni mwanaume atajuaje?
yaani ataonekanaje kwa wakati ule anapofika hapoooo mnapopaita kileleni?
naomba kujifunza
nasema hakuna safari za nje ya nchi, na hii ni kwasababu tunaposafiri tunaenda kufanya kazi za watu wengine (mabalozi) sasa wao wafanye nini?
jenga nchi ppppmbaaaaaaffffff
yes mshkaji agonge kazi tuu, awe makini asifanye maamuzi magumu yatakayoigharimu nchi coz sisi wapinzani ndio tutapatia kick hapo, awe makini sana na wasaidizi wake wasimuaibishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.