Juliana Mimi nakushangaa sana kwa Maelezo unayotoa ni kama mtu mwenye matatizo ya kisaikolojia.
Lakini kumbuka chadema ndio waliokufundisha siasa wakakulea vizuri ndio maana ccm wanakuona lulu sasa hivi.Pia tambua chadema ni chama makini sana hata ww unalifahamu sana ila tatizo lako njaa...
Lizaboni huo ushaidi wako ungetupa na account number zilipopitishwa hizo fedha ingependezwa zaidi kwa sababu tuhuma zako hazitupi chanzo sahihi ambacho tutapata uthibitisho usio na shaka.
Ndugu naona unachokielezea nadhani huna uelewa nacho vizuri elewa hivi advance diploma ni sawa na degree hata kwenye ajira mnalipwa sawa,kilichokuwa kinafanyika kabla ya kuwa na vyuo vingi nchini ukitaka kusoma master UD ni lazima uwe na first class ya advance diploma kama huna sharti usome post...
Kwa kuwa kesho nitakwenda chuo tena nitauliza vizuri,cz Nina amini katika kukosolewa ila kile ninachokijua ndio nilikieleza
Asante kwa changamoto zako.
Bora kupanga chumba mkaishi hata watu wawili pia mnakuwa huru hata kupika na hata chuo kikifungwa mkawa mnaishi kuliko hostel,kuhusu hostel za nda ni sh 120000 per semester ila inabidi utumie nguvu za ziada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.