Mi nafikiri mihamala ya stanbank ndo mihala iliyo na majina ya ikulu ikiomgozwa na Mkuu wa kaya, na huyo mtoto wa huyo bibi anapata wapi kiburi cha kuongea mameno machafu hayo ndo maana tunasema hii nchi mtoto,mke,Mme wa kiongozi naye ni kiongozi tu ndunguzangu wana jamvi tujitahidi kuelimisha...
Hii si karne ya wanajamvi kusikiliza redio za udaku kama hiyo kama huna cha kupost bora ukae kimya sasa sisi tusumbuke kucomment juu ya mtangazaji asiyekuwa na A wala B pole huo muda hatuna kwa sasa tunasumbukia mstakabali wa taifa hili la tz lililochoshwa na maescrow
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.