Samsung 75 inch is 9800yuan
TCL 65 inch is 3800yuan
TCL 70 inch is 4200yuan
hyo ni bei ya mchina moja pale guangzhou mtaani.
Tv kwa kampuni nyingi wanabeba kwa 550/cbm
wengine 500usd/cbm(cubic meter).
sasa ili kujua gharama,unamulizia mchina wako kwamba tv pamoja na package ya mbao(ulinzi wa...
kama unaweza kupata hela ongeza 20000
agiza china
chukua redmi note 10 global version ina features nyingi
uanze na ulimwengu wa amoled 120hz,hutojutia maana updates wanatoa mara kwa mara
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] zote ni mtk,lkn mtk ya oppo imechangamka ila tatizo labda kutopata update.ww bajeti yako ni ngapi ili tukushauri uchukue oppo ipi
Ukiagiza Alibaba Kuna store moja nilichukua 650k.wasafirishaji wanachaji 20usd
Ila store nyingi wanauza laki 8.Yangu ipo njiani after 2weeks nitakucheki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.