G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Yani huyu waziri bwana, sijui huwa anafanya maigizo ili kumfanya nani mjinga!
Alipokuwa waziri wa kilimo alikutana na watu waliozuia msafara wake huko Iringa wakimsifu. Ila kwa kuwa Magufuli hakutaka hivyo akamuonya akamuhamisha na wizara.
Alipoenda mambo ya ndani napo akawa vile vile na maigizo yake hatimaye Magufuli akaona isiwe tabu. Akamfukuza uwaziri.
Sasa leo eti kule Tunduma napo wamesimamsha msafara wake huku wakimuhimiza azidi kukusanya kodi ili wananchi wapate maendeleo! Imagine igizo kama hili anaenda kuthubutu kulifanyia Tunduma. Eti wanatunduma wanamlalamikia kuwa hawana maji. Ha! Ha! Ha!
Mwigulu yani bado tu hujaachaga ile misifa isiyokuwa na mashiko. Tunduma na wewe wapi na wapi bwana?
Ile tozo ni uwizi wa mchana hilo kaa ufahamu kabisa. Hizo sarakasi zako za kuusaka urais utaishia kuwa Rais wa Kiomboi football club!
Alipokuwa waziri wa kilimo alikutana na watu waliozuia msafara wake huko Iringa wakimsifu. Ila kwa kuwa Magufuli hakutaka hivyo akamuonya akamuhamisha na wizara.
Alipoenda mambo ya ndani napo akawa vile vile na maigizo yake hatimaye Magufuli akaona isiwe tabu. Akamfukuza uwaziri.
Sasa leo eti kule Tunduma napo wamesimamsha msafara wake huku wakimuhimiza azidi kukusanya kodi ili wananchi wapate maendeleo! Imagine igizo kama hili anaenda kuthubutu kulifanyia Tunduma. Eti wanatunduma wanamlalamikia kuwa hawana maji. Ha! Ha! Ha!
Mwigulu yani bado tu hujaachaga ile misifa isiyokuwa na mashiko. Tunduma na wewe wapi na wapi bwana?
Ile tozo ni uwizi wa mchana hilo kaa ufahamu kabisa. Hizo sarakasi zako za kuusaka urais utaishia kuwa Rais wa Kiomboi football club!