Hakuwahi kufukuzwa. Zaidi, Riwaya ya Rosa Mistika haikuwa na jambo lolote baya dhidi ya Serikali. Ilizuiwa kuchapishwa kwa sababu ilionekana kama inakashifu Kanisa Katoliki
Kazi ya Kezilahabi iliyokuwa mwiba kwa Serikali ni Kaptula la Marx. Nayo ilipigwa marufuku na haikuchapishwa mpaka...
Sheria gani hiyo? Kama hujui si ukae yu kimya? Mwizi anaundiwa Tume ya nini wakati kazi ya kuchunguza fraud yoyote ni ya Polisi au TAKUKURU? Hao wakihidi kuna ukweli wanapeleka shauri Mahakamani na Mtumishi akipatikana na hatia automatically anakufukuuzwa kazi
Sijawahi kuona hiyo kitu. Labda usome PGD in Projects Management. Ndani yake utakutana na kozi ya Monitoring and evaluation. Ipo Kenyatta University, Arusha Centre
Tshs 10,000 kwa mwezi (siku 20 za masomo) ni sawa na Tshs 500 kila siku. Je, hata nyumbani kwako anaweza kula Tshs 500 akashiba? Tshs 500 mbona hazinunui hata chupa ndogo ya gongo huku kijijini kwetu na ndugu zangu wajita wanalewa kila siku? Tuache kuchezea elimu aisee
Hapana, hamuwezi ku enjoy wote bali waliokuwa wana enjoy watakoma ku enjoy lakini walikuwa hawa enjoy nao pia hawata enjoy. Tafsiri yake ni kwamba walikuwa wanaishi kama Malaikq sasa wataishi kama shetani lakini waliokuwa wanaishi kama mashetani hatujaelezwa kama sasa wataanza kuishi kama Malaika
Hapana, Wakurugenzi wanateuliwa na Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa. Zamani Waziri mwenye dhamana hiyo alikuwa ni Waziri Mkuu kwa sababu ilikuwa ikiitwa Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI. Kwa sasa, Rais ameiondoa chini ya Waziri Mkuu na ameipeleka Ofisini kwake na inaitwa Ofis ya Rais -...
Jamani, acheni uhongo! LUHENDE PIUS GERALD SHIJA MKURUGENZI MPYA WA ITIGI alimaliza Sekondari O' level Kilosa Sekondari ( 1990- Kizunguzi), akaenda form six kisha diploma, akawa mwalinu wa sejondari. Mwanzoni mwa miaka ya 2000 akawa mkaguzi wa shule huko shinyanga. 2005-2007 tulikuwa nae diploma...
Huyo DC Ntinika William Paul baada ya kuzimia Mufindi alipelekwa Magu. Huko nako kapaharibu ni hakuna mfano. Ana tuhuma za kutengeneza barabara kwa milioni 103 kwa imprest. Pia alichota 10m kwa kuwatumia vijana PCCB wakamwamuru azirejeshe. Lakini ni hodari wa kuimba mashairi wakati wa Mwenge na...
Kwanza mwandishi wa barua hiyo naye ni Afisaelimi feki maana hajui misingi ya mawasiliano serikalini. Kama angekuwa anaijua adingesaini barua hiyo kwa cheo chake maana yeye sio kiongozi wa taasisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.