Recent content by jakackseru

  1. jakackseru

    Picha wanaume tunaupendo wa asili!

    A player in the making
  2. jakackseru

    Tablet inauzwa 330,000/=

    Weka jina twende pm nikupe pesa
  3. jakackseru

    iPhone: Jinsi ya kuilipia ili wa unlocked icloud

    Mm ninepasua kioo changu pia japo bado inapiga mzigo, kama ninyeusi tuongee biashara mm nataka kioo tu vingine vyote nakuachia
  4. jakackseru

    Tuwe macho watanzania wote

    Hivi karibuni kumeibuka wimbi la viongozi wengi wa ccm kutangaza nia yakuwania kuteuliwa kugombea kiti chaurais,kila mmoja ndani ya ccm anatangaza nia kwastyle yake,mpaka leo tumeshawasikia wengi ambao natumai wafuatiliaji wamaswala yakisiasa mtakuwa mnawajua. Napata wasiwasi napia nawataka...
  5. jakackseru

    Nimecheka mpaka machozi

    Kwi kwi kwi kwi
  6. jakackseru

    Msaada namna ya ku unlock Apple ID kwenye iphone4s

    Mkuu nahitaji display tu,utaniuzia shngapi?
  7. jakackseru

    Hivi hawa wana lengo zuri na mimi?

    Ndugu point yangu ni, je nisawa kwa shangazi yake kumpokea nakuishi naye hata wiki nzima ilihali anajua kuwa anaishi namwanamme? Nimeomba ushauri kwamaana isijekuwa mm ndio namtizamo tofauti.
  8. jakackseru

    Hivi hawa wana lengo zuri na mimi?

    Ndugu nimeshatangaza nia kama umenisoma vizuri nailikuwa nifanye hivyo mwezi wanne ila alifiwa nababa yake ikabidi tusogeze mbele mchakato
  9. jakackseru

    Hivi hawa wana lengo zuri na mimi?

    Tumia lugha nzuri kidogo,simchakazi tunachakazana
  10. jakackseru

    Wanawake wa TANGA ni noma

    Hawafai kuoa hatakidogo, labda kwamichepuko tu ila ukiweka ndani umeumia
  11. jakackseru

    Hivi hawa wana lengo zuri na mimi?

    Alinitolea maneno machafu sana,tena mbele yabint
  12. jakackseru

    Hivi hawa wana lengo zuri na mimi?

    Ndio maana nikasema "tumeishi wote kutokana nasababu flani" ila mchakato wandoa ulikuwa uanze mwezi wanne ila alipata msiba wababa yake hivyo tumeirusha mpaka mwezi wasita
  13. jakackseru

    Hivi hawa wana lengo zuri na mimi?

    Asante kwaushauri,nitalifanyia kazi maana hatajana nabaridi hili nimelala mwenyewe kitandani,chumba kilikuwa kikubwa kama disco alafu upo pekeyako naviti wametoa.
  14. jakackseru

    Kwanini wanaume huwa na michepuko?

    Umekurupuka,fanya utafiti mdogo tu utagundua sio wanaume pale wanawake ndio wanaongoza kwakuchepuka
  15. jakackseru

    Nimechoka kutembea hadi miguu inataka kuisha, mwenye gari la milion 2 nanunua

    Nyie watu mtatiua kwavicheko! khaaa! Ndio ushauri gani huu?
Back
Top Bottom