Hivi hawa wana lengo zuri na mimi?

Hivi hawa wana lengo zuri na mimi?

Kama bado hujamuoa huna mamalaka nae sana. Ni yeye mwenye maamuzi ya kukusikiliza au laah. Fanya kama unatangaza nia, uone heshima itakavyorudi.

Ndugu nimeshatangaza nia kama umenisoma vizuri nailikuwa nifanye hivyo mwezi wanne ila alifiwa nababa yake ikabidi tusogeze mbele mchakato
 
Ungeandika hilo jibu ulilopewa ningeweza kusema kitu.
 
Sasa kwanini asimpokee?
Au unataka amfukuze ukamnyanyase?
 
Alinitolea maneno machafu sana,tena mbele yabint

unaeleza shortcut sana. husomeki, alikutukana mbele ya binti, .... umelala peke yako chumba kikubwa kama disco na viti wametoa...... nini sasa.?????
 
unaeleza shortcut sana. husomeki, alikutukana mbele ya binti, .... umelala peke yako chumba kikubwa kama disco na viti wametoa...... nini sasa.?????

Ndugu point yangu ni, je nisawa kwa shangazi yake kumpokea nakuishi naye hata wiki nzima ilihali anajua kuwa anaishi namwanamme?
Nimeomba ushauri kwamaana isijekuwa mm ndio namtizamo tofauti.
 
unasubiri maji yamwagike ushindwe kuzoa, if u cant act now like a man, the will play with u around,,,ull be a fool, avoid that now..act as a man,,,,kama unaendekeza kitanda sijui kilikuwa kikubwa peke yako basi lea hizo tabia zake...then.....subiri matokeo
 
Asante kwaushauri,nitalifanyia kazi maana hatajana nabaridi hili nimelala mwenyewe kitandani,chumba kilikuwa kikubwa kama disco alafu upo pekeyako naviti wametoa.


My dear I am sorry if I founded you with this question. Are you guys married? Because I see ulivyoeleza na nilivyoelewa ni kuwa hamjaoana sasa inakuwaje wengine wanaona huyo ni mkeo halali. Only I can say kama hamjaoana hilo ndilo tatizo . Na chanzo cha kisa ni pale mlipochukuliana kijumlajumla bila process za ndoa. Thanks.
 
Naomba uweke wazi Huyo ni mkeo au ni kimada tu ikiwa umemuoa unayo haki kumwambia Huyo shangazi kama unaishi tu NAE huna haki ya kumuwekea mkwara
 
Back
Top Bottom