Lowassa kweli ?
Anasema yeye ni Rafiki wa mama lishe, Bodaboda nk.
Hizi porojo tu kwa sababu zimeanza wakati wa kampeni. Angeanza wakati uleee labda angekuwa anamanisha.
Huko mmoja tu aliyejaribu kufanya vizuri kwa watu wake ni Gadafi na sababu alianzia mbali na mkakati wake.
MAGUFULI...
Kumuunga mkono Magufuli ni lazima kwa ajili ya watumishi wote wanaoipenda nchi hii. Kwa sababu Magufuli ni kiongozi bora kwa sisi watumishi na siyo bora kiongozi.
Wewe uliyeanzisha Uzi huu ni vema kama unafanya utafiti, lkn kama upo serious na maana hii umeingia choo kisichokuhusu.
Hapa ni...
Ukawa mwanzo wake lazima uwe sawa na mwisho wake tu.
Mtu Mwenyewe busara akikwambia tufanye jambo la kipumbavu, nawe ukafanya.
Huyu lazima atakudharau tu.
Hili ndilo linaloendelea Ukawa.
Upuuzi wa kufilisi viwanda umetufikisha pabaya kiasi cha kuwa wayegemezi wa kila kitu toka tyres hadi njiti za kuchonoa kwenye meno. Mambo kama haya huyapati China
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.