Ukweli nilipata somo kupitia uyu jamaa sikuwai kuwaza kua uhusiano wetu ungekufa kwa style hii. Familia zetu ziliungana kwa sababu ya urafiki wetu, sasaiv nakua makini na kila aliye karibu yang na simwamin mtu yoyote.
Ni mzima na hana shida nilienda mpaka mkoa kwa mamake nilimwelezea , hawezi amin mama yake alidondosha mchozi na aliomba anilipe kidogo kidogo.
Lakin nilipoangalia khali ya mamake ni ngumu sana na ni mjane ivo nilikataa.
Mumenitonesha kidonda changu jaman, mwaka jana nilipigwa 800,000 na rafiki yng ambaye tulisoma kuanzia primary school mpaka secondary. Jamaa alikua kama ndugu kabisa ata nyumbani wanamjua vizur na mm pia nafahamika kwao.
Siku ya tukio alinipigia cm kua kuna jamaa anafanya kazi bandarini anauza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.