Hakuna aliekataza watu kusali usiku boss. Ila tusali tukijua kuna watu wamepumzika. Sio kwa fujo. Ndio maana nikasema mfano mzuri wa Ibada ni Kumuiga Yesu. Je alikua akipiga kelele na fujo?
Naomba andiko ambalo Yesu alifanya ibada kwa kupiga makelele.
Pia naomba uniambie je Pepo chafu linaweza kuingia eneo takatifu? Sote tunafahamu kamwe pepo chafu haliwezi ingia eneo takatifu. Sasa hao mapepo wanaotolewa ndani ya kanisa yaliwezaje kuingia mpaka humo ndani??
Hilo ndio tatizo kubwa.
MUSSA Aliambiwa Vua Viatu hapo ulipokanyaga ni patakatifu akavua kweli viatu vya miguuni.
Leo ukiulizwa kama kanisani na patakatifu kwanini huvui viatu. Unasema sio viati hivi ni dhambi!!
Umeeleza neno moja hebu lete
ufafanuzi wa hili pia:-
Na msipayuke maneno ?
MATHAYO 6:5-7
5 Mnaposali, msifanye kama wanafiki. Wao hupenda kusimama na kusali katika masunagogi na katika pembe za njia ili watu wawaone. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao. 6 Lakini wewe unaposali, ingia chumbani mwako, funga mlango, kisha umwombe Baba yako asiyeonekana. Naye...
MATHAYO 6:5-7
Mnaposali, msifanye kama wanafiki. Wao hupenda kusimama na kusali katika masunagogi na katika pembe za njia ili watu wawaone. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao. 6 Lakini wewe unaposali, ingia chumbani mwako, funga mlango, kisha umwombe Baba yako asiyeonekana. Naye...
Kwanza kabisa unatakiwa ufahamu kua Mungu wa kweli halali wala hachoki kama wewe na mimi.
Pili nakuunga mkono kwenye hilo jambo la makelele. Mungu yu karibu sana na sisi na haitaji mikelele ya ajabu ajabu.
Ukitaka kufanya maombi sahihi omba kama alivyokua akiomba bw. Yesu. Na kama wewe ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.