Naomba nijitambulishe kuwa Mimi ni mwanachama ambaye nimedumu chamani zaid ya miaka kumi bila longolongo. Sasa katika harakati zetu za kukuza chama kuna jambo linanikumba sielewi nini shida. Wiki tatu na kurudi nyuma toka nlivyojiunga kila nikijilipua ndan ya dakika mbili wazungu waleeeeeeeee...
Naelewa hyo struggle maana mm nmesomea koz ka yako ila nmeamua kujikita upande wa graphic design kwa sasa maana ndio kitu inanifanya naishi,kweny filam ntarud ila nkiwa na kila kitu
Hii series kwa maandishi sidhan kma kuna MTU anaweza ielewa.hii ni series imedeal na concept za muda, paradox,loop.nilivyomaliza season 2 theme iliyotumika kwenye tenet "what happened happened" nkajua everyone one is bound to make the same mistake, season 2 mwishon ndio imekuja kubadilika ambpo...
Bongo movie INA safari ndefu sana maana.mm naamin wakiwa serious na wakafanya kazi nzur wawekezaji watakuja weng na wakutosha,nenda kaangalie wasouth na wanaija huko Netflix.
Kuna series mmoja huko Netflix y kisauzi jina lake sikumbuki ila inahusu msichna mmoja anaenda shule ya matajiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.