Sio kila mada lazima ucomment mada zingine zipo juu ya ubongo wako so ukiona hivyo unapotezea tu maana akili zako zimefyatuka kwa kiwango cha makanikia[emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbunge wa Singida Mashariki, Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria, Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Wakili wa Mahakama Kuu Tanzania na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha CHADEMA Mheshimiwa Tundu Lissu, amekamatwa na Mlinzi wa amani alipokuwa...
Wadau tukumbushane kidogo km mnakumbuka mwaka Jana kulikuwa na habari iliyoenea nchi mzima kuhusu yule bwana aliyetuhumiwa kumpiga hadi kumtoboa macho bwana Said baadae akakamatwa na kufikishwa mahakamani sasa sijajua ile kesi ilipoishia mwenye taarifa tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole hujui ulisemalo nikikuuliza nn maana ya maandamano jibu lake utasema maandazi na maharage, ila sisi tunaoandamana tunajua tunachokifanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.