Hawa voda ni wezi sana. Eti mara ghafla data ya 15000 kupata 10GB imegeuka 15000 unapata 2GB kwa siku saba. Nimechoka kabisa. Mbaya zaidi namba nyingine ni personnal kuwekewa vocha tu na ofisi wameamua kutuibia hata kama twanunua wenyewe. Acheni hizo jamani mbinguni hamtafika
Mi nashauri mboreshe maana naona kichekesho tu. Eti nita mapoint kibao, ukitaka kununua kifurushi point 7000 kwa MB200, mmeboa kwa kweli. Au hizo point 80000 ukitaka iwe hela unapata 4000, kweli!!!!! Wakati unapewa tuzo 10 kwa transaction! Huu ni utani bora mbadili au mboreshe
Kwa hiyo kwa mfano ulitakaje? Ujumbe umefika hata kama angekuwa ana mkutano wa watu wawili. Hivi wewe ulishawahi hata kupigwa na Polisi, unajua Lissu anachojisikia kupigwa risasi kwa maagizo ya serikali, unajua ameumia kiasi gani, kwa nini mnaongea tu hamjiweki kuwa Lissu? Utamsemaje mtu...
Sio siri huyu jamaa unaweza kuchelewa kazi unamsikiliza tu. Tangu atoke TZ, Ulaya, Marekani jamaa mihadhara yake na interview zake ni kiboko. Sidhani kama huyu mtakatifu feki anamfikia hata chembe.
Tumuombee aishi mpaka siku ndoto zake za kutengeneza Tanzania na Africa zenye misingi imara ya...
Hivi wewe mleta uzi haujadhurika vyovyote na hii serikali ya kidicteta?hongera kwa utetezi wako. Hakuna mwingine anayeweza kufafanua upotevu zaidi ya CAG mwenyewe. Kama alisema kuna hela haionyeshi kutumika ni yeye tu atakuja kusema ameona imetumika kwa weledi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.