Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,670
- 32,975
Sio na haraka zote hizi anaishia kutuambia kua anashukuru kwamba amerudi salama! alafu kimya.....(kama wenzie)
Alikula na kunywa pamoja nao?
Sio na haraka zote hizi anaishia kutuambia kua anashukuru kwamba amerudi salama! alafu kimya.....(kama wenzie)
Maswali Mengi ya kuuliza.Msaidizi wa MEMBE 'Allan' anachokizungumza baada ya KUREJESHWA na WATU wasiojulikana.
Akizungumza kwa namna alivyoachwa njia panda ya Segerea amesema “Nilishushwa sehemu ambayo niliona ni sehemu salama kwa sababu nilieweza kupata usafiri wa kurudi kwangu.”
Ameeleza kuwa “Wao wenyewe(Wanaodaiwa kuwa Watekaji) waliuliza ni wapi tukikushusha unaweza kufika salama? Nikawauliza kwani tupo wapi? Wakasema tupo Gongo la Mboto. Nikasema mimi nakaa Kinyerezi mkinishusha njia panda ya Segerea nitakuwa salama.”
Aidha, kwa sababu suala hilo lipo Polisi amesema kuwa hawezi kuelezea ni nini kilitokea huko alikokuwa bali tusubiri tamko au ripoti ya Polisi. “Kwa kuwa mimi ni Mkweli sana na najua Polisi watasema kile nilichosema.”
Lakini pia alipohojiwa kama ataendela kuwa Msaidizi wa Membe, Allan amesema kuwa anatumaini ataendelea kuwa Msaidizi wa Waziri huyo wa zamani kwani amekuwa msaidizi wake tangu mwaka 2012 akiwa Mwanafunzi wa Chuo hadi sasa
Awali, alianza kutoa shukurani zake kwa Wanahabari kwa namna ya walivyojitolea kuhakikisha sauti za familia yake, Wanasiasa na Watanzania wote zinasikika. Pia amemshukuru Membe, IGP Sirro na Polisi wote wa Kituo cha Kawe
Kwa mazingira yote ya tukio Allan alitekwa kweli.Maswali Mengi ya kuuliza.
1. Allan anadaiwa alikoswa kutekwa tarehe 2 July alichukua hatua ipi
2. Inadaiwa baada ya Allan kutekwa kulitokea ugomvi baina yake na watekaji mbona appearance ya Allan hata kovu moja hana
3. Inakuaje watekaji wakuteke halafu hao hao wakuulize wakupeleke sehemu salama
Nakubali kuwa utekaji upo lakini sikubaliani na huu wa Allan
Huu unaosemekana utekaji una sura za kisiasa zaidi dhidi ya serikali.
nadharia ni nyingi sana,sababu tu mtekwaji kaamua kukaa kimya,wamemtaka nini mpaka aogope kusema?Kwa mazingira yote ya tukio Sllan alitekwa kweli.
Look st the bigger picture
Watanzania mnashindwaje kujoin the dots.
- Membe alitoa neno majuzi kupinga utekaji
- Membe ana kesi na Musiba mahakamani
- Membe ameinyesha nia ya kugombea 2020
- Aliyetekwa ni msaidizi karibu wa Membe
- Anaosigana nao Membe wanajulikana wako upande gani
- Watekaji wamemteka msaidizi wa kachero mbombezi Membe
- Kurufishwa kwa Allan, tena kwa staha ni dalili kuwa kuna wana usalama hawakupendezwa na utekaji huo na majuzibtumesikia kitisho cha kuwaumbua watekaji hadharani
- Kitivu cha amani Dsm, mkuu wa mkoa yuko kimya katika tukio zima
Angetweet kama alivyofanya Mo siyo kutuchosha wandishiAnatoa shukrani mkuu
Kwanini nisiamini na mtekwaji anaeleza wazi kila kitu? Lakini hili tukio la kutekwa watu si la kwanza kutokea.Hivi wewe mkuu na akili zako unaona kuna kutekwa pale kweli?
Mkuu hakuna nadharia hapo jaribu kudadavua facts zilizopo.nadharia ni nyingi sana,sababu tu mtekwaji kaamua kukaa kimya,wamemtaka nini mpaka aogope kusema?
labda sasa utuambie hayo yote yana uhusiano gani na huyu msaidizi,kwanini wasiteke mtoto au mke wa membe,kama lengo ni harakati za membe?
Apo wewe umejiona una akili?Aisee... Kuweni na akili watz hivi Membe ana nini mpka wamfuatilie hivyo? Yule ni mwana ccm mwenzao hakuna jipya na hana jipya lolote katik nchi hii
Sasa utamkemea Nani? Aliyeteka au aliyetekwa?Unafikiri nchi ikichafuka wewe utakuwa salama?, kemea maovu haya kabla nchi haijachafuka
We unaona kuna waandishi wa Habari pale?HahahahahahAngetweet kama alivyofanya Mo siyo kutuchosha wandishi
Ingependeza kama ungeanza weweHakuna kitu kizuri kama kuwa na mawazo huru, toka nje box ndugu yangu
Ulimboka hajafa aiseeInaonekana kuna makubaliano ukieleza ukweli ndio mwisho wako.Mtu aliyetekwa akaongea ukweli alikuwa Dr. Ulimboka
Anaota huyu....Ulimboka alishafariki?