Habari zenu wana jf kuna shoga yangu amenijia anaomba ushaur kwang.yeye ni mama mwenye watoto 2 mume wake ni mwanajesh walioan wakiw na maish ya kawaida badae alipat cheo tena kikubwa cha ajab pamoj na mshahara wake kuwa mzur maish hayakubadilik cn hal ngumu ya maish iko pale pale tatiz...
Yan umenigusa san maan hat kam unatatizo lak unashindwa kuomb ushaur maana unakut m2 anatatiz serious lakin w2 wanavyofany mzah mpk unaumia unaon haina maan tubadilike
Pole ndug mshukur Mungu wk kwa kuktp hat fursa ya kujua uk kweny tatiz cn wot wanaopat hiy fursa hi ni hatua pia umepig MAOMBI ndio kil k2 huy ni shetan tu usimpe nafas nend kuna kanisa lik ilala panaitwa kwa SALU han din yy atakuombea naiman utapona
Mim kwa upand wangu naamin mke wa mtu anayetoka nje ya ndio anasababu ten ya msing coz mwanamk akisema amependa huwa amependa kwel ina akichok na huwa anachok kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.