Hili daraja lilishawahi kupata adha kama hiyo zaidi ya miaka sita imepita sasa. Kilichofanyika wakati huo yale makampuni yenye mabasi mengi yalikuwa yanafanya exchange ya abiria (abiria walivuka kwa miguu) kabla ya kujengwa daraja la muda kupunguza msongamano wa magari ndipo likajengwa hilo...
Naomba nieleweke, kwenye desktop huwezi fanya chochote kwa maana ya kuright click. Hilo swala la kuhide or view desktop icons nalifahamu lakini sio katika hii situation. Naendelea kusisisitza kuwa ni malware or virus naombeni msaada wa kuwatoa sasa.
Kuna pc tatu zote zina windows xp, zimekumbwa na malware na wasi wasi kwani desktop icons zote hazionekani na wala siwezi kuright click kwenye desktop. Naomba msaada wa jinsi ya kurescue hii situation. Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.