Recent content by Jackline Bahath

  1. J

    Msishangae Diamond siku baba yake akifa akaandaa mazishi ya kifahari

    familia zetu za kitz zina siri nyingi sana kwa kweli
  2. J

    Msishangae Diamond siku baba yake akifa akaandaa mazishi ya kifahari

    Ni kweli inabidi ifike point wamuangalie yule baba kwa jicho la 3,alikosea na nina amini amejutia,palipobakia ni kumkumbuka hata kwa kidogo nadhani nafsi yake itamsuta na atapata fundisho pia,anatia huruma yule baba
  3. J

    Msishangae Diamond siku baba yake akifa akaandaa mazishi ya kifahari

    ni kweli baba ni baba,lkn kumbuka kuitwa baba haina maana ule uwezo tu wakumpa mwanamke mimba,la hasha. ubaba unaanzia pale kiumbe kinapotungwa,mahusiano mazuri ya baba na mtt ni tangu mtt akiwa tumboni,baada ya hapo pia ujue mtt anakula nn anavaa nn na mahitaji mengine muhimu kwa makuzi yake...
  4. J

    Msishangae Diamond siku baba yake akifa akaandaa mazishi ya kifahari

    Hiyo familia ni mfano mzuri wa kuigwa
  5. J

    Je, umeshawahi kukosea kutuma Ujumbe wa Mapenzi kwa mtu asiye mlengwa?

    Nitafanya hivyo kwa ajili yako boss,ingawa sijawahi kuleta uzi jf kwa mara ya kwnz nitaleta
  6. J

    Je, umeshawahi kukosea kutuma Ujumbe wa Mapenzi kwa mtu asiye mlengwa?

    mkuu ukiona nang'ata maneno ujue jibu lenyewe linaweza kuwa topic,😂😂 ngoja tulumezee tu
  7. J

    Je, umeshawahi kukosea kutuma Ujumbe wa Mapenzi kwa mtu asiye mlengwa?

    😂😂 weee acha kbs. Umbea sio kitu kizuri,sina hamu mm jackie
  8. J

    Je, umeshawahi kukosea kutuma Ujumbe wa Mapenzi kwa mtu asiye mlengwa?

    😄😄 namshukuru mungu sijawahi kutwa na hilo balaa,ila nilikutwa na kisanga kingine kbs
  9. J

    Picha;Nguvu ya Mwanamke:Tupia yako!

    anapaka na lipstick kbs,hhahaha ngao kaigeuza kioo
  10. J

    Chozi Lisilofutika

    washindwe
  11. J

    Chozi Lisilofutika

    😂😂😂 Watu wasio na mapenzi mema na mimi
Back
Top Bottom