Ni kweli inabidi ifike point wamuangalie yule baba kwa jicho la 3,alikosea na nina amini amejutia,palipobakia ni kumkumbuka hata kwa kidogo nadhani nafsi yake itamsuta na atapata fundisho pia,anatia huruma yule baba
ni kweli baba ni baba,lkn kumbuka kuitwa baba haina maana ule uwezo tu wakumpa mwanamke mimba,la hasha.
ubaba unaanzia pale kiumbe kinapotungwa,mahusiano mazuri ya baba na mtt ni tangu mtt akiwa tumboni,baada ya hapo pia ujue mtt anakula nn anavaa nn na mahitaji mengine muhimu kwa makuzi yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.