Recent content by Jack_tshirt_point

  1. Jack_tshirt_point

    Natafuta Dalali wa Frame Katoro

    0678295060 mpgie huyo mkuu
  2. Jack_tshirt_point

    Nauza chumba cha kufanyia biashara Katoro-Geita

    Bei boss ni m20 ila maongezi yapo kodi kwa mwaka ni milioni 3
  3. Jack_tshirt_point

    Nauza chumba cha kufanyia biashara Katoro-Geita

    Leo nimewaletea uzi kuhusu biashara ya nguo hasa za kiume,hii ni biashara nzuri sana endapo utaifanya kwa umakini na ina faida kubwa. Mimi nimefanya hii biashara nafkri ni zaid ya miaka 10 sasa kwahy nina uzoefu mkubwa sana,mambo kadhaa kufahamu kabla hujaanza kufanya biashara hii ni; 1. lazima...
  4. Jack_tshirt_point

    Naombeni ushauri katika hili (mtaji wa 5.M bishara ya duka la nguo)

    Uzi wa mwaka jana huu....njoo katoro kaka hyo pesa ni ndogo kwa dar ila hapa katoro pamechangamka sana kama kweli unataka kufanya biashara ya nguo.mimi nipo hapa katoro ntakusaidia kupata frem pia dar nina uzoefu mkubwa wa machimbo ya nguo maana huwa nafata huko naleta zangu hapa katoro.mambo...
  5. Jack_tshirt_point

    Fursa mji wa Katoro mkoani Geita

    nyomi ni kubwa sana pia na mzunguuko wa biashara upo sana,nisehem nzuri sana yakujitafuta...mi nipo hapa huu mwaka wa nne,biashara yoyote hapa unapga ila ukitaka kufanikisha kwenye biashara yoyote hapa katoro usitake faida kubwa ndo maana hapa panasifika sana kwa vitu kuwa na bei ya chini,ila...
Back
Top Bottom