Habari zenu wakuu.nilikuwa naomba kufahamishwa zaidi juu ya hiyo kozi tajwa hapo juu..kuhusu fursa zake,mchango wake kwenye kujiajiri na chuo gani kinatoa hiyo kozi kwa ufanisi hapa nchini..napenda kuwasilisha karibuni.
Fanya kwanz uchunguz kabla hujaanza kuongea porojo.unachokiandika hapa kinasomwa na watu wengi sana so unaweza kumanipulate watu humu.hilo daraja litasaidia kuongeza biashara kati ya mwanza na nchi jirani kama rwamda na burundi kwa sababu hii ndio shortcut nyepesi kuna baadhi ya wafanyabiashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.