Watu bhana eti ilani ya ccm,,,mamvi aliposema ataondoa foleni dar alijuaje kama hiyo ndo ilani ya ccm.au maamuzi magumu ya kijinga anayosema atafanya amejuaje kama ndo ilani ya ccm....acheni ushabiki ..uraisi haumaanishi kufata ilani ,,,unamaanisha kwenda kinyume na matarajio ya wengine ili...