Toa comment kulingana na mada mkuu, mimi nafikiri ingekuwa vizuri kama ungetoa ushauri kwa first year wafanye nini ili waweze kugraduate katika hiyo kozi kuliko ulichokiandika hapo wewe unakuwa mmojawapo wa wale wanaotaka kulibomoa taifa ni hayo tuu mkuu naamin wewe pia ni mwanachuo tena...
Watu wanasema ni nzuri pia usihofu kama umechaguliwa hiyo kozi wewe ukifika chuo komaa nayo tu, kama kawaida halafu pia tupeanea mawasiliano maana wote tupo department moja ili tuendelee kujuzana mambo kadhaa.
Vijana wote waliochaguliwa sua mwaka huu,ni vizuri mkaandika kozi uliyopangiwa na kwa wale waliopangwa agricultural engineering tupeane mawasiliano,namba yangu 0718076801
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.