Recent content by Jaalut

  1. Jaalut

    Mtaani digrii ni nyingi mno lakini maisha magumu sana

    "Tafuta elimu usitafute cheti, tafuta pesa usitafute ajira".... Natamani vijana wote waambiwe hayo maneno
  2. Jaalut

    Operesheni ya kutoa kizazi imefeli; bado anapata maumivu makali

    Bro, mimi ni mwanaume mwenzako ila kwa jinsi unavyomuhangaikia, kumvumilia na kumuonea huruma mkeo nathubutu kusema wewe ni husband material... USHAURI WANGU:- kuna mambo sisi binadamu yapo nje ya uwezo wetu, mfano, hilo tatizo linalomsumbua mkeo. kwa hiyo nakushauri chukua kiasi cha pesa, au...
  3. Jaalut

    Kumkopesha mtu zama hizi ni kutafuta uadui

    Kitu ambacho wakopaji wengi hawakijui ni kuwa, wenye moyo wa kukopesha ni walewale, hivyo basi wadaiwa sugu watahangaika weee ila mwisho wa siku watarudi tu... Siku zote huwa nawaambia wakopaji, muheshimu sana mtu anaekukopesha mkopo bila ya riba, bila ya dhamana ( bond) , bila ya kuandikishana...
  4. Jaalut

    Utaratibu wa kulazimisha mtoto wa kwanza kuanza kufunga ndoa kwanza kisha ndio wafuate wadogo zake

    @Saint Anne nimeona una kitu, kwa hiyo kama upo below 26 years fanya mpango tuziunganishe koo zetu ziwe ndugu.
  5. Jaalut

    Utaratibu wa kulazimisha mtoto wa kwanza kuanza kufunga ndoa kwanza kisha ndio wafuate wadogo zake

    @cariha haupo sahihi kabisa dada yangu Kwa hiyo kama hutotimiza ndoto zako hutoolewa?
  6. Jaalut

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    [emoji110]
  7. Jaalut

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ni mwendo wa kupindua meza
  8. Jaalut

    Msaliti haombi msamaha kwa sababu amesaliti bali anaomba msamaha kwa sababu amegundulika

    Haya ndio maneno mnayotumia kuwatisha wanawake wasiokuwa.
  9. Jaalut

    Msaliti haombi msamaha kwa sababu amesaliti bali anaomba msamaha kwa sababu amegundulika

    Haya ndio maneno mnayotumia kuwatisha wanawake wasiokuwa na hatia
  10. Jaalut

    Hivi kwanini wazazi wa kiume hawapendi kuishi kwa watoto wao?

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  11. Jaalut

    Hivi kwanini wazazi wa kiume hawapendi kuishi kwa watoto wao?

    Hapo kidogo umenipa mwangaza kiongozi
  12. Jaalut

    Msaliti haombi msamaha kwa sababu amesaliti bali anaomba msamaha kwa sababu amegundulika

    Kuna thread moja nimeiona, mdada anaomba ushauri jinsi ya kuishi na mume anaye-cheat. Sasa katika michango ya wadau nimeona wengi wanamshauri mwanamke amsamehe mumewe eti kwa kuwa ameomba msamaha. Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kuwa "Msaliti haombi msamaha kwa sababu amesaliti bali anaomba...
Back
Top Bottom