Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Vyuo vinazidi kutema lundo la vijana wetu. Si digrii ya kwanza , si ya pili, graduates ni maelfu kwa maelfu.
Kazi hamna , ajira hamna , mitaji ya kujiajiri hamna. Vijana wamebaki mtaani bila issue yoyote. Wanarandaranda tu kwenye mitandao ya kijamii.
Kazi hamna , ajira hamna , mitaji ya kujiajiri hamna. Vijana wamebaki mtaani bila issue yoyote. Wanarandaranda tu kwenye mitandao ya kijamii.