Mimi siku hiyo nimeanza kazi nilitembea nimening’iniza kitambulisho ili watu mtaani wajue nafanya kazi taasisi furani
Sent from my iPhone using JamiiForums
Baba yangu alikua mwanajeshi tulkua tunakaa kota za jeshi Ihumwa, kuna siku ilkua saa1 jioni, baba akampgia simu mama kua yupo zamu anaomba tumpelekee koti, tukatoka mimi na mdogo wangu kuelekea kambini kumpelekea mzee koti kufika umbali wa kama mita 4 hv kufka getini tukaskia sauti tunaambiwa...
Kama kwel unania nenda kamuone paroko wa parokia unaposali atakwambia nini chakufanya, haijalishi kama umepita seminari au laa ,kabla ya kuanza masomo lazima upite nyumba ya malezi utakaa kwa miezi6 au mwaka uone kama kwel utaweza kuendelea na hatua inayofata
Naomba kujuzwa , mfano ukiwa na tourist visa ya france inatakiwa ufanye booking hotel ya kufikia sasa hapo kwenye kufanya booking n lazma ubook cku zote utakazo kaa au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.