Hiyo bei ni kawaida sana kwa hao kuku haijalishi ni vifaranga maana hao wameshakuwa. Msibishe tu kwa minajili ya kubisha hao ni wenyewe kwa anaewajua na Mara zote sio kila mtu atanunua kuchi. Wazanzibari huwa wanauziwa paka Laki 3 na hawaliilii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.