Mimi nijuavyo mali aliyo kukuta nayo si mali ya ndoa na hata mali utakazo mkuta nazo sio mali ya ndoa pia kwahiyo kama ni kweli alikukuta na mali zako hazita guswa ila mlizo chuma mkiwa wote lazima zigawanywe
kuhusu uimara nazingatia sana hilo mkuu maana mimi ni mjenzi pia lakini ukiweka mfumo wa slab inarahisisha kuongeza mambo mengine kama mgahawa na mengineo manaa tatizo la mazingira yetu ni maeneo kuwa madogo na ukitaka kiwanja cha jirani atakuuzia bei ya kukomoa
mkuu kama itakupendeza nitumie picha dm yangu maana mimi nilikuwa mbioni kujenga lodge baada ya wapangaji kunisumbua sana ila mimi nilitaka kuweka mfumo wa slab ili ikikuwa naongea kwa juu tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.