Jaribu kuangalia settings za internet. Mara nyingi ukiweka laini inafanya settings automatically. Unakuta kuna neno tigoweb. Hiyo inakuwa ni 2G. Add new APN. Pale kwenye name andika tigo internet na kwenye APN andika internet then save halafu chagua hiyo APN uliyocreate. Hapo kama maeneo mazuri...
Kwa sasa ukipoteza laini ndio utaratibu unaotumika sio tigo pekee hata mitandao mingine. Inabidi uende kwenye mtandao husika ambapo watakupatia form. Ukitoka hapo uende kituo cha polisi kilicho karibu na eneo laini ilipopotea upate RB halafu uende kulipa sh 500. Bila kufuata hizo hatua...
CCM walisema watatoa elimu bure hadi kidato cha 4, CHADEMA hadi chuo kikukuu. Hii kitu ya kusema wameiba kutoka CHADEMA imetoka wapi?
Ushauri ni mzuri kwa serikali nadhani wanaweza wakaufanyia kazi ila ingekuwa vizuri zaidi ungeutoa bila kuingiza uchama. Haya mambo ya CCM na CHADEMA kutaka...
Nadhani mtoa mada unalamikia ndugu yako kukosa nafasi na si ubora wa UDSM.
Hivi umeshawahi kujiuliza wanatumia vigezo gani kupata rank za vyuo vikuu bora? Kuna wakati inapanda hadi kufikia chuo kikuu bora Afrika Mashariki, je wanapendelewa? Na wakishuka je wanaonewa? Kwa nini hivi vyuo vingine...
Tatizo tunalazimisha mambo. Kwani lazima wakiite golden boot kama hawana uwezo wa kutoa kiatu cha dhahabu? Wangeweza hata kutengeneza kiatu cha mti wa mpingo na kukiita 'mgingo boot' bado ingekuwa na maana kama zawadi kuliko kutumia neno gold wakati sio dhahabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.